M2WAWA2 JF-Expert Member Joined Aug 15, 2014 Posts 3,285 Reaction score 5,598 Aug 10, 2024 #21 “Vilevile kuanza kwa mradi wa treni ya umeme tutegemee watu wengi wataishi Morogoro na kuja kazini Dar es Salaam,” amesema Abdallah. Labda hiyo SGR wapewe wengine kuindesha
“Vilevile kuanza kwa mradi wa treni ya umeme tutegemee watu wengi wataishi Morogoro na kuja kazini Dar es Salaam,” amesema Abdallah. Labda hiyo SGR wapewe wengine kuindesha
RRONDO JF-Expert Member Joined Jan 3, 2010 Posts 55,727 Reaction score 123,094 Aug 10, 2024 #22 Afadhali hao kuliko kuchukua mortgage na kuhangaika kulipa miaka 20-25.
Lycaon pictus JF-Expert Member Joined Jan 31, 2021 Posts 9,189 Reaction score 16,128 Aug 10, 2024 #23 Kujenga nyumba nadhani ndicho kitu cha gharama zaidi katika maisha ya mtanzania. Inabidi itafutwe namna ya kumomboa.
Kujenga nyumba nadhani ndicho kitu cha gharama zaidi katika maisha ya mtanzania. Inabidi itafutwe namna ya kumomboa.