Huyo ni Muarabu na Waarabu wanapenda Tanzania maana huko ndiko wanakoweza kuwanyonya kabisa. Azam, Mo Dewji na waarabu wengine wanatawala huko Tanzania.inakaa Kenya haijulikani ndo maana akaenda Tanzania na si Kenya!
Sasa mbona mnamnyemelea mbona hata huko wakina Vimal Shah na jamaa wa Sameer group na National group wanawafinya!Huyo ni Muarabu na Waarabu wanapenda Tanzania maana huko ndiko wanakoweza kuwanyonya kabisa. Azam, Mo Dewji na waarabu wengine wanatawala huko Tanzania.
Mbona alituma pesa kwa BoT badala ya kutuma pesa kwenye akaunti yake ya CRDB? Au sheria ya Tanzania inalazimisha mwekezaji kutuma pesa kwa BoT kwanza ili BoT ifanye uchunguzi kuhusu uhalali wa pesa hio? Hii process ndefu ni ya ujinga tu maana investors wengi watatoroka kwa sababu ya kuzungushwa kama watoto. Hapa Kenya investor anaweza kutuma pesa ndani ya nchi au kuituma nje ya nchi bila kubabaishwa na yeyote.
hakuna cha sleeping giant inawezekana pesa imeshapelekwa kwenye miradi mingine na kwa ucheleweshwaji huu angestahili zipelekwe huku PIL na interest kidogo 2018 2020Tanzania is a sleeping giant
Tunajichafua kimataifa wenyewe halafu tunalia lia tena wenyewe katika kuwatafuta ndio tabia ya watoto wadogo
Mbona alituma pesa kwa BoT badala ya kutuma pesa kwenye akaunti yake ya CRDB? Au sheria ya Tanzania inalazimisha mwekezaji kutuma pesa kwa BoT kwanza ili BoT ifanye uchunguzi kuhusu uhalali wa pesa hio? Hii process ndefu ni ya ujinga tu maana investors wengi watatoroka kwa sababu ya kuzungushwa kama watoto. Hapa Kenya investor anaweza kutuma pesa ndani ya nchi au kuituma nje ya nchi bila kubabaishwa na yeyote.
Hata mimi sijaelewa mantiki au busara ya kupeleka pesa BoT, namuona mjinga sana huyo muwekezaji, isitokee zimetafunwa kwa kutumika kwa kale kamsemo wanapenda kutumia "tumejenga kwa pesa yetu ya ndani".
Nilijua tu kuwa lazima kuna sheria mbovu inayoshurutisha Wawekezaji kutuma pesa BoT kwanza kabla ya pesa hio kuingia kwenye personal bank account ya muwekezaji. Kwa sheria za kishamba kama hizi mtaendelea kukosa uwekezaji wa maana katika uchumi wenu.muwekezaji sio mjinga, kuna sheria huku inasema pesa ipitie BOT , wajinga ni viongozi
Nyingia kuanzia kiasi gani mkuu?muwekezaji sio mjinga, kuna sheria huku inasema pesa ipitie BOT , wajinga ni viongozi