MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Licha ya makelele yote yale na mamia ya nyuzi humu JF na nenda rudi nyingi zile baina ya serikali yenu na Barrick, ilifikaje makubaliano ya 2017 kupinduliwa na kufanywa kinyume chake, niwe mkweli hayo makubaliano ya awali yalinifanya nihisi kwa namna fulani Magufuli ndiye kiboko na starring wa movie dhidi ya mabeberu, na ndiye atakua rais wa kwanza Afrika kusimamia kidete kile anakiamini kuwa maslahi ya Watanzania, ila hii video ya BBC inaonyesha mliangukia pua na mkarudi kwenye chini ya miguu ya mabeberu.
Inatia huruma, hili sio la kuchekwa maana huu ukata na umaskini Afrika umetamalaki licha ya utajiri wa raslimali.
Inatia huruma, hili sio la kuchekwa maana huu ukata na umaskini Afrika umetamalaki licha ya utajiri wa raslimali.