Watanzania ilitokeaje mkaishia kubadilishiwa kibao na Barrick kwenye madini, hadi mkaangukia pua?

Watanzania ilitokeaje mkaishia kubadilishiwa kibao na Barrick kwenye madini, hadi mkaangukia pua?

..siku ripoti zinawasilishwa ikulu kulikuwa mpaka na wasanii wa kuimba.

..hivi umeona wapi ripoti ya uchunguzi, ya kitaalamu, uwasilishaji wake unatanguliwa na nyimbo za wasanii?

Unakomalia kwa $191b. Wewe huelewi vita na mabeberu hufanywa kwa mikakati gani. Uliza wakenya 'Mau mau' walidai ngapi kwa beberu waliowafunga jela katika harakati za Uhuru na hatimaye walilipwa ngapi.

Fahamu Barric na Accacia ni limited liability companies..Hauwezi wadai zaidi ya Assets zilizopo kwa balance sheet na hawafikishi hata hiyo $191b.

Magu alijua hilo, Na alidai akijua hilo. Na matunda yake ni 50:50 shareholding, 50:50 profit share.

Tafuta mkataba kama huo afrika nzima unioneshe.

Tuseme magu level yake ya negotiations ipo juu kinyama. Hauwezi elewa kwa kupitiapitia tu juu juu, utumbo na tamaa za $191b
 
Tulisema Acacia ndio walioiba hizo pesa, tukasema wakitaka kuendelea lazima walipe, wangekuwepo tungekubaliana terms za malipo kwasababu hata serikali ya Marekani haiwezi kutoa hiyo pesa kwa pamoja.

Acacia hawakuweza kulipa ikabidi wafukuzwe nchini, BARIC wakaomba kama kuonyesha heshima na kuomba msamaha kutokana na kosa walilofanya wadogo zao, wakaomba kutuangukia kwa $300M.

Suala la kulipa kwa mafungu, hiyo sio hoja kwasababu hao BARIC sasa hivi ni wabia wetu katika uchimbaji dhahabu kupitia kampuni ya Twiga Gold.

Kwani kulipa zote na kulipa kidogo kidogo kuna athari gani kwa Tanzania?, kama tunafanya kazi kwa pamoja kama Partners na wameomba kulipa kwa mafungu, kuna ubaya gani au mnataka kuendelea uhasama kwa mtu mnayefaya kazi kama Partner?
Uchambuzi mzuri
 
Kale kachambuzi ni kachadema kale...kanasema kwa kejeli eti tunawapigia magoti mabeberu...very stupid...halafu mtangazaji Zuhura Yunus au aliyemwandalia hataki ku-balance...analeta Sera za madini za chadema na Act Wazalendo lakini wanaacha makusudi Sera za CCM...halafu kale kachambuzi uchwara kanatamba peke yake bila kuwepo na upande wa pili kwa maana kutoka serikalini au wizara ya madini....Zuhura Yunus anatumiwa na mabeberu na Kama hakuandaa yeye Bali anasoma tu basi lipo tatizo kwake...BBC ..a biased media...unprofessional ....always working against third world countries.
Kwa upande mwingine ndo maana serikali ilivipiga marufuku vyombo vya nje kurusha maudhui bila kibali.
 
Back
Top Bottom