Mange Kimambi naye yupo kwenye kundi la diaspora? Nimeuliza tu.Wengi tumejikita na uswahili wetu. Hatujichanganyi dunian kujua Kuna nn? Eti Uchumi wa buluu! Majanga haya. Dunia ni yetu sote tutoke tukutane na wenzetu tujenge networks na strategic partnership.
**Diaspora yetu japo ndogo lakin Kama sisi tu. Full kusifia ili wapate vyeo
Unaposikia uchumi wa blue unaelewa nini?Wengi tumejikita na uswahili wetu. Hatujichanganyi dunian kujua Kuna nn? Eti Uchumi wa buluu! Majanga haya. Dunia ni yetu sote tutoke tukutane na wenzetu tujenge networks na strategic partnership.
**Diaspora yetu japo ndogo lakin Kama sisi tu. Full kusifia ili wapate vyeo
Uchumi wa bluu wakati wanavua Kaa na Mijusi tu.Wengi tumejikita na uswahili wetu. Hatujichanganyi dunian kujua Kuna nn? Eti Uchumi wa buluu! Majanga haya. Dunia ni yetu sote tutoke tukutane na wenzetu tujenge networks na strategic partnership.
**Diaspora yetu japo ndogo lakin Kama sisi tu. Full kusifia ili wapate vyeo
Hawaeleweki. Sana wanakwambia uchumi utokanao na maliasili za Bahari. Waulize ni zipi??Unaposikia uchumi wa blue unaelewa nini?
Hawapendi twende nje. Ni wivu na roho mbaya tu.[emoji3516]
MLOLONGO WA KUPATA PASSPORT YA KUSAFIRIA KIUHALALI TU NI JANGA,
WADHANI TWAWEZAJE KUPATA INTERNATIONAL EXPOSURE HAPO MKUU?
Eti Uchumi wa Bluu. 😅😅Sisi wqcha tupambane na Ilani Kwanza. Hizo exposure kaa nazo huko Saudia
Language barrier!! Mwalimu nyerere alituachia urithi wa lugha ya kiswahili , bahati mbaya kiswahili hakiendi international ndo maana tu mabubu internationalyWengi tumejikita na uswahili wetu. Hatujichanganyi dunian kujua Kuna nn? Eti Uchumi wa buluu! Majanga haya. Dunia ni yetu sote tutoke tukutane na wenzetu tujenge networks na strategic partnership.
**Diaspora yetu japo ndogo lakin Kama sisi tu. Full kusifia ili wapate vyeo
Na kweli "international exposer" inahitaji fedha.International exposer inahitaji pesa...
Sijui kwanini waliamua kuweka vipengele kibao kwenye upatikanaji ya passport ambayo wala haina maajabu, nchi zenyewe ambazo mtu anaweza kwenda bila visa ni zile ambazo hazina issue tu[emoji3516]
MLOLONGO WA KUPATA PASSPORT YA KUSAFIRIA KIUHALALI TU NI JANGA,
WADHANI TWAWEZAJE KUPATA INTERNATIONAL EXPOSURE HAPO MKUU?
Malaysia, Qatar, South Africa hamna ishu? Negativity at its peakSijui kwanini waliamua kuweka vipengele kibao kwenye upatikanaji ya passport ambayo wala haina maajabu, nchi zenyewe ambazo mtu anaweza kwenda bila visa ni zile ambazo hazina issue tu