Watanzania jiungeni zaidi kibiashara na nchi za Kiarabu

Mandango songa mbele na usisikie maneno watu wenye frikra duni na za kale. Nafahamu Qatar ina fanya utafiti wa kujenga mtambo mkubwa wa kusafisha mafuta karibu na Dar. Watainvesti karibu $ 2 billions. Mtambo huu utahudumia Tanzania, Afrika Mashariki na ya kati. Inategemeawa mtambo huu ukikamilika karibu watanzania 800 wataajiriwa kwa kazi mbali mbali zenye malipo manono. Pia karibu Watanzania wengine 5000 wataajiriwa na makumpuni mengine yatakayo toa huduma kwenye mtambo huo mfano katika kantini ya chakula, wasafishaji, uangalizi wa majengo, usafirishaji wa wafanyakazi na bidhaa n.k. Mtambo unategemewa kuimarisha sana uchumi wa Tanzania.

Ukitaka habari zaidi nenda TanzaniaInvest.com | Tanzania Investment Economic and Business News Interviews Reports Consulting . Tanzania inataka watu kama nyie. Karibu sana.
 
waarabu wamelaaniwa, angalia maeneo yote waliyokalia tz, ndo kuna umasikini wa kutupwa. utajiri ulioko kwenye nchi zao ni wa watu wa magaribi, kama mafuta, yanaongozwa na watu wa magaribi, kila kitu kwenye nchi zao vinaongozwa na watu wa magaribi, wao ni second hand tu. hawataki shule, wanataka starehe na wanawake nyumbani tu.

angalia, kuanzia Bagamoyo, nenda zanzibar, nenda mpwapwa, nenda kondoa, nenda Tabora, nenda Ujiji, nenda Pwani ya kusini yote kuanzia lindi/kilwa, mtwara, rufiji etc. ndo masikini wa kutupwa, wanategemea majini na uchawi badala ya kwenda shule. Watz tunatakiwa kuwaogopa waarabu kama ukoma, hao ndo watu wakatili kuliko wote duniani, na ndio waliotufanyia ukatili wa kutupwa watu wa africa mashariki kipindi cha slave trade, ndo waliwachukua mababu zetu na kuwa castrate kule uarabuni ili wasizae, waliwatoa mashilingi/mayai ya kiume yaani pu..mb.

waarabu ni mkosi. hata hapa bongo, ukifanya kazi na mwarabu, hautakuja utoke katika maisha yako yote. hawa waarabu ndio wanaotufanya tz kuwa na viongozi wanaoongozwa na mashehe yahya na waganga wa kidini wa aina hiyo.futilia mbali hawa watu waliozaliwa nje ya ndoa...
 
mtoa mada, mada yako inamlengo wa kidini zaidi. Tunapaswa kusimamia raslimali zetu vizuri na kutafuta highest bidder. hakuna urafiki kwenye biashara period. Ikiwa huamini, waulize hao waarabu katika vitabu vyao vya historia ktk shule zao (na hii ni kwa hata wazungu pia) kama wanawafundisha watoto wao kuwa waliwahi kuwauza waafrika ktk biashara ya utumwa.

dont be brainwashed kwa sababu ya dini mkuu.
 

Ubungoubungo kama kweli waarabu ni masikini wakubwa na wamelaaniwa tusinge ona utajiri wao mkubwa ulipo katika inchi zao kutoka kwa Mungu.

Qatar imetokea ya kwanza duniani kwa mishahara mikubwa inayotoa kwa wanaichi wake (kama unataka information zaidi nitakutumia)

just for your information waarabu wana ma university ya kila aina na kwa idadadi kubwa sana ingalao wanaichi wao si wengi.

Kuhusu utumwa, sisi waafrika wenyewe pia tulishiriki katika bieshara hiyo ya zamani ya utumwa pamoja na wazungu.

Ubungoubungo, Yahya si Mwarabu.
 
Mandago tueleze biashara yakufanya wa jf hii form ni ya biashara sio mapenzi jamaa wameuliza biasharagani yakufanya ukitoa mafuta na gas sisi hatuwezi tupebiashara tunayoiweza unufaike najamaa wanufaike unajenga iwe na malengo mambo ya mapenzi sihapa usituchanganye mkuu malilo kauliza huja jibu unajibu urabu na mambo ya mpira vip bana
 
Waarabu eti wamefanya utumwa,nikisoma historia huwa na cheka sana wanasema arab slave trade sikatai kuwa hawakufanya lkn mpira wote wa slave trde wanatupiwa wao.angali watu weusi huko marekani na brazil na ulaya.sijuwi waliendaje huko au warabu ni wazungu pia.historia ya utumwa ni kubwa sana na mambo mengi yame wekwa mkono.angali nchi za kiiarabu kuna majangwa makubwa.hao watumwa walienda kufanya nini huko kama sio kuuzwa sehemu zingine.ukisoma historia ya waarabu utawaona kuwa wao walikuwa watu wa kati ni kimaanisha wananunua hapa wanauza pale au walikuwa wakitumwa na kutekeleza kwa maelewano watayoya panga. Africa walichangia utumwa pia kwasababu za tamaa pia. Kitu bora tukifanye sahivi tujue kuwa watu wote wa dunia walifanya utumwa.ambao ulikuwa sio warangi tu bali hata wamataifa yasiyo na nguvu. Asante.....
 

Sasa mheshimiwa hutaki kukubali tu kwa vile labda unawapenda waarabu?
Biashara ya utumwa kule kwenye coast ya atlantic ilifanywa na wazungu ndio walikuwa wanapeleka watu weusi kutoka afrika kwenda America south, latin and North.
Kwenye coast ya indian ocean ni waarabu ndio walifanya hiyo biashara. Hii haimaanishi uwachukie waarabu au wazungu wa sasa, lakini ukweli uko pale pale, waarabu na wazungu waliwafanyizia babu zetu.
 

Don't try this at home or school. STAY SAFE!:hatari:

Napenda ROST TAMU toka uajemi mwee!:tongue:
 

Lakini na sisi wenywe tulikuwa tunashiriki kwenye biashara ya utumwa, so kama inabidi tuwaogope waarabu kwa sababu hiyo na sisi tujiogope wenyewe.
Ila hili la Waarabu kutupenda watu weusi kusema ukweli ndo nasikia mara ya kwanza, kabla ya leo nilikuwa nasikia opposite tu :smash:
 
Cool down Mandago,

Tafadhali,unaweza kutupa orodha ya biashara ambazo tunaweza kufanya pamoja? ( za oil/mafuta/gas hizi hapana). Nipe biashara ambazo mbongo wa kawaida anaweza kufanya kwa kushirikiana na nyie bila mizengwe.

Mtoa mada naomba utueleze kidogo opportunities zilizopoa arabuni haswa qatar 'kama unauzoefu kidogo, binafsi navutiwa sana na hii nchi, nina mpango wa kwenda kuangalia hali ya hewa ikiwezekana sikuzijazo nikatafute kajiajira kule na baadae biashara! sasa nimeanza kutafuta tuiesheni za kiarabu. Hivi ni kweli kuwa kuna ubaguzi wa asili kwamba wazungu wanapatiwa maslahi kuliko waasia na waafrika kutokana na nchi wanazotoka kuwa duni.
 
Mandago acha fix zako za kusema waarabu wako karibu na waafrika, wale wanaishi hizo nchi ulizozitaja Afrika Mashariki ni kuwa hawana budi tu kwa ajili hawana vitabu vya kurudi kwao, au wale matajiri wote wanacitizenship za kwao, wako african countries kuchuma tu.

Ukija upande waubaguzi hapo usiseme, waarabu look down on Africans, I can recall too many names many but it happens hata hao waarabu wa Oman uzi ni ule ule. Business wise wa TZ always will remain matapeli in the eyes of these so called Arab. Kama kweli wewe umekuja na sera za kiabiasha just list few opportunities that we can real talk as busieness.

Moreover, hao madada zetu wa kiTZ mngekuwa mnawafanyia usawa wanapokuja kufanya kazi kwenu za housemaids and you pay peanuts
.
Have a nice day
 


Absolutely right!
 
Historians watusaidie wale waafrika waliopelekwa Uarabuni wakati wa biashara ya utumwa walichukuliwaje na jamii hizi za waarabu
 
asante nimeelewa vyema lkn wazungu wajanja sana kwenye historia kama hii wanapeleka mpira upande mmoja ili watu wasiwaone wabaya.tukubaliane vyote utumwa kwa mataifa ya zamani ni kuonesha nguvu la taifa fulani ni kitu cha kawaida,nilishanga kusoma historia moja kuona kuwa waarabu wa sham(syria) waliwatawal watu karibia na urusi pia
 
upuruzi mtupu
 
Maendeleo ya Mwafrika yataletwa na mwafrika mwenyewe.. period.


kuwa mwaqngalifu kaka,waarabu wanapenda sana kula tigo wanaume wenzao,hasa waafrica,mimi sitaki kabisa
kufanya nao biashara,angalia sana
 
Mkuu mbona ukiskia neno waarabu unapandisha mzuka sana,walishakubandua kunako nini...?pole sana haha haha haha haha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…