Watanzania kubambikiwa kesi; Jaji Mkuu, wanasiasa, wanaharakati, wanasheria na wananchi wote wanalalamika

Watanzania kubambikiwa kesi; Jaji Mkuu, wanasiasa, wanaharakati, wanasheria na wananchi wote wanalalamika

Jaji mkuu alipoamua kujishikamanisha na CCM, ndiyo ulikuwa mwisho wa weledi. Inashangaza sana unapoona jaji mkuu anafanya vikao vya mara kwa mara na katibu mkuu wa chama!!
Halafu bila aibu ana sema waendesha mashtaka wana kwamisha kesi[emoji199] kwani mhimili wa mahakama si kuona hayo mapungufu na kutoa haki?? Kama mwendesha nashtaka ana leta hoja ambazo hazina mashiko ni wajibu wa mahakama kuzikataa na kutoa haki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaji mkuu alipoamua kujishikamanisha na CCM, ndiyo ulikuwa mwisho wa weledi. Inashangaza sana unapoona jaji mkuu anafanya vikao vya mara kwa mara na katibu mkuu wa chama!!
Usishangae sana. Labda ni yaleyale ya Augustino Ramadhan kutia nia kugombea urais! Alikuwa kada kindakindaki kuanzia lini? Huyu J. Ibrahim,unakumbuka alivyozima kesi ya Zito kupinga CAG( aliyekuwa anajifanya mhimili mwingine{ kijembe cha Jiwe})kuitwa na Ndugai?
 
Back
Top Bottom