Watanzania kuendelea kuibeba sana ya Afrika ya Kusini ni ushamba uliopitiliza

Watanzania kuendelea kuibeba sana ya Afrika ya Kusini ni ushamba uliopitiliza

TheDreamer Thebeliever

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2018
Posts
2,490
Reaction score
3,584
Habari wadau!

Kwanza naomba kukiri kwa kinywa changu kwamba mimi ni mbaguzi sababu hata rais wa Marekani bwana Donald Trump alishawai kukiri kwamba yeye ni mbaguzi ila kuna watu ni wabaguzi zaidi yake.

Kwa wale waliowahi kuishi nchi za kusini kama South Africa, Msumbiji n.k watakubaliana na mimi kwamba hawa watu ni wabaguzi, ukiachilia mbali machafuko yaliyotokea miezi kadhaa nyuma ya xenophobia.

Kitendo cha wasanii wa SA kuja Bongo mfululizo kuja kufanya show wakati wasanii wa Bongo wanakosa platform za ku perform naona kama ni kukosa uzalendo na kuthamini our local content.

Hauwezi amini ukipita miji ya SA hautokaa ukiona nyimbo za Kibongo zikipewa nafasi kwa media zao ila sasa sasa tulivyo vihele hele kupiga majimbo ya nje wakati nyimbo za ndani za vijana wetu hazipewi nafasi hata kupigwa kwenye ma club.

Wa Tz ni watu wa ajabu sana sijawahi kuona, tuvipende vya kwetu kwanza na tuwasaidie watu wetu.
 
Yaan mkuu ukiwa una maana tuache kumsikiliza nasty c tuwasikilize mabantu?🏃🏃🏃🏃
Media zihache kuwapa promo wasanii wa SA ,media zisipige kabisa nyimbo za nje badala yake wapge nyimbo za ndani tu.

Pia waache kuwaleta leta kuja kupiga show bongo hapa tuna wasanii kibao .
 
Habari wadau!

Kwanza naomba kukiri kwa kinywa changu kwamba mimi ni mbaguzi sababu hata rais wa Marekani bwana Donald Trump alishawai kukiri kwamba yeye ni mbaguzi ila kuna watu ni wabaguzi zaidi yake.

Kwa wale waliowahi kuishi nchi za kusini kama South Africa, Msumbiji n.k watakubaliana na mimi kwamba hawa watu ni wabaguzi, ukiachilia mbali machafuko yaliyotokea miezi kadhaa nyuma ya xenophobia.

Kitendo cha wasanii wa SA kuja Bongo mfululizo kuja kufanya show wakati wasanii wa Bongo wanakosa platform za ku perform naona kama ni kukosa uzalendo na kuthamini our local content.

Hauwezi amini ukipita miji ya SA hautokaa ukiona nyimbo za Kibongo zikipewa nafasi kwa media zao ila sasa sasa tulivyo vihele hele kupiga majimbo ya nje wakati nyimbo za ndani za vijana wetu hazipewi nafasi hata kupigwa kwenye ma club.

Wa Tz ni watu wa ajabu sana sijawahi kuona, tuvipende vya kwetu kwanza na tuwasaidie watu wetu.
Wewe ni mbaguzi
 
Wewe ni mbaguzi
Ndio mm ni mbaguzi lakini wapo wabaguzi kuliko mm.Serikali inaposema tulinde wazalishaji wa ndani sidhani kama wanamaanisha tusiwe wabaguzi.

Nimetembea nchi za hawa wajamaa nimejionea wanavyo promote na kulinda sanaa yao kwa kutumia hicho ambacho ww unaona ni ubaguzi.
😂😂😂
 
Kupiga sana nyimbo za nje imekuwa ni kama fashion hivi...huu ushamba unaendekezwa sana pale clouds, wanachagua nyimbo za wasanii WA Tz za kupiga hivyo kujikuta Wana nyimbo chache tu za wasanii WA ndani

Sent from my 502SO using JamiiForums mobile app
Huo ndio ushamba ninaolalamikia hapa tenq sikutaka kuzitaja hzo media,wanakomaa kupiga minyimbo ya nje wakati wasanii wa bongo nyimbo zao hata ukivuka mtwara hauzisikii zikipigwa inauma sana😂😂😂😂
 
Mkuu mbona kama unapangia watu maisha.

Pia kama nyimbo za bongofleva ni nzuri basi zingesikilizwa tu na kama mbaya basi hazitosikilizwa haijarishi ni za Tanzania au wapi.

Kila mtu ana priority, taste na perspective zake hivyo huwezi kumbadilisha kivyovyote.

Mkuu sikiliza nyimbo za SA ni ngoma kali sana.
 
Huo ndio ushamba ninaolalamikia hapa tenq sikutaka kuzitaja hzo media,wanakomaa kupiga minyimbo ya nje wakati wasanii wa bongo nyimbo zao hata ukivuka mtwara hauzisikii zikipigwa inauma sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu na wewe usikilize JERUSALEMA halafu tuone kama utarudia kusikiliza MY PHOTO?
 
Back
Top Bottom