Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo ujue mtu huyo HAJAFA. KAZI aliyofanya inaishi Bado.Habari za usiku wazee!
Hayati Magufuli kwa kipindi cha miaka 6 ya uongozi wake kazidiwa na mwaka mmoja wa Samia katika kutoa ajira rasmi tena serikalini. Ila cha ajabu bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia.
Je, huu sio uchawi?
Kwenye makusanyo ya fedha Magufuli pamoja na kukusanya pesa kwa kutumia bunduki lakini hajaifikia rekodi ya Samia. Lakini bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia. Huu nao ni uchawi.
Ustawi wa jamii umetulia
Watumishi tumepandishwa madaraja na mwezi huu tunapokea mshahara mwingine.
Lakini cha ajabu bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia.
Huu ni ujuha na uchawi.
Uhuru wa habari.
Sote ni mashahidi, wakati wa Magufuli hakuna TV ya hapa nchini iliyoweza kufanya mahojiano na mwanasiasa wa upinzani . Hakuna tv ya Kibongo iliyorusha hata dk 3 za mkutano wa Tundu Lissu. Lakini bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia.
Sasa hivi hata mitaani kuna pesa angalau kuliko kipindi cha Magufuli ila wananchi hao hao wamesahau ukata wa kipindi cha Magufuli, wanaanza kumtukuza Magufuli
Huu ni uchawi sio bure
Katoe Pesa kwenye Mtandao wowote Mpesa, Halopesa n.k ndo utauona uchawi huo. Na hiyo ni moja tu, hujaja kwenye bei ya Sukari, mafuta, e.t.c [emoji80]Habari za usiku wazee!
Hayati Magufuli kwa kipindi cha miaka 6 ya uongozi wake kazidiwa na mwaka mmoja wa Samia katika kutoa ajira rasmi tena serikalini. Ila cha ajabu bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia.
Je, huu sio uchawi?
Kwenye makusanyo ya fedha Magufuli pamoja na kukusanya pesa kwa kutumia bunduki lakini hajaifikia rekodi ya Samia. Lakini bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia. Huu nao ni uchawi.
Ustawi wa jamii umetulia
Watumishi tumepandishwa madaraja na mwezi huu tunapokea mshahara mwingine.
Lakini cha ajabu bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia.
Huu ni ujuha na uchawi.
Uhuru wa habari.
Sote ni mashahidi, wakati wa Magufuli hakuna TV ya hapa nchini iliyoweza kufanya mahojiano na mwanasiasa wa upinzani . Hakuna tv ya Kibongo iliyorusha hata dk 3 za mkutano wa Tundu Lissu. Lakini bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia.
Sasa hivi hata mitaani kuna pesa angalau kuliko kipindi cha Magufuli ila wananchi hao hao wamesahau ukata wa kipindi cha Magufuli, wanaanza kumtukuza Magufuli
Huu ni uchawi sio bure
Ukisoma haraka haraka waeza his anamponda jiwe🙃🙃🙃🙃Mkuu sikuelewi huenda kwa kuwa ni usiku itakuwa sababu ni usingizi
Watu wana akili zao walikuwa wanaona na kusikia kila kilichokua kikitendeka huwezi kuwadanganya kwa kutumia propaganda za uchawa halafu ukategemea watakuelewa !!! Tuchape kazi na kazi iendelee !!! Tusidanganyane watu wameamka huwezi kuwadanganya!! Maana kila wanachokipitia sasa wanajaribu kukilinganisha na hiyo miaka sita ya Jpm kwahiyo ukiona bado wanamkumbuka sana ujue wameshaona yale wasiyoyapenda yamesharejea kwa kasi!!Ukweli mchungu.
Yaan tunaposema Tanzania watu hawana ufahamu na elimu ya kutosha ,ww ni Mfano mzuri Sana.Yaan inaonekana huna akili kabisa.Na upo tayari kutuambia upuuzi na ujinga Kama huu,na hauoni aibu.Habari za usiku wazee!
Hayati Magufuli kwa kipindi cha miaka 6 ya uongozi wake kazidiwa na mwaka mmoja wa Samia katika kutoa ajira rasmi tena serikalini. Ila cha ajabu bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia.
Je, huu sio uchawi?
Kwenye makusanyo ya fedha Magufuli pamoja na kukusanya pesa kwa kutumia bunduki lakini hajaifikia rekodi ya Samia. Lakini bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia. Huu nao ni uchawi.
Ustawi wa jamii umetulia
Watumishi tumepandishwa madaraja na mwezi huu tunapokea mshahara mwingine.
Lakini cha ajabu bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia.
Huu ni ujuha na uchawi.
Uhuru wa habari.
Sote ni mashahidi, wakati wa Magufuli hakuna TV ya hapa nchini iliyoweza kufanya mahojiano na mwanasiasa wa upinzani . Hakuna tv ya Kibongo iliyorusha hata dk 3 za mkutano wa Tundu Lissu. Lakini bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia.
Sasa hivi hata mitaani kuna pesa angalau kuliko kipindi cha Magufuli ila wananchi hao hao wamesahau ukata wa kipindi cha Magufuli, wanaanza kumtukuza Magufuli
Huu ni uchawi sio bure
Wewe mwenyewe unamtukuza sema tu una kachuki fulani kakipinzani. Siku ukituliza akili utakuja hapahapa kumtukuza hadharani.Habari za usiku wazee!
Hayati Magufuli kwa kipindi cha miaka 6 ya uongozi wake kazidiwa na mwaka mmoja wa Samia katika kutoa ajira rasmi tena serikalini. Ila cha ajabu bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia.
Je, huu sio uchawi?
Kwenye makusanyo ya fedha Magufuli pamoja na kukusanya pesa kwa kutumia bunduki lakini hajaifikia rekodi ya Samia. Lakini bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia. Huu nao ni uchawi.
Ustawi wa jamii umetulia
Watumishi tumepandishwa madaraja na mwezi huu tunapokea mshahara mwingine.
Lakini cha ajabu bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia.
Huu ni ujuha na uchawi.
Uhuru wa habari.
Sote ni mashahidi, wakati wa Magufuli hakuna TV ya hapa nchini iliyoweza kufanya mahojiano na mwanasiasa wa upinzani . Hakuna tv ya Kibongo iliyorusha hata dk 3 za mkutano wa Tundu Lissu. Lakini bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia.
Sasa hivi hata mitaani kuna pesa angalau kuliko kipindi cha Magufuli ila wananchi hao hao wamesahau ukata wa kipindi cha Magufuli, wanaanza kumtukuza Magufuli
Huu ni uchawi sio bure
Ni lini umekuwa mshenga wa watanzania hata kuwaperemba kwa dictator JPM??Habari za usiku wazee!
Hayati Magufuli kwa kipindi cha miaka 6 ya uongozi wake kazidiwa na mwaka mmoja wa Samia katika kutoa ajira rasmi tena serikalini. Ila cha ajabu bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia.
Je, huu sio uchawi?
Kwenye makusanyo ya fedha Magufuli pamoja na kukusanya pesa kwa kutumia bunduki lakini hajaifikia rekodi ya Samia. Lakini bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia. Huu nao ni uchawi.
Ustawi wa jamii umetulia
Watumishi tumepandishwa madaraja na mwezi huu tunapokea mshahara mwingine.
Lakini cha ajabu bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia.
Huu ni ujuha na uchawi.
Uhuru wa habari.
Sote ni mashahidi, wakati wa Magufuli hakuna TV ya hapa nchini iliyoweza kufanya mahojiano na mwanasiasa wa upinzani . Hakuna tv ya Kibongo iliyorusha hata dk 3 za mkutano wa Tundu Lissu. Lakini bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia.
Sasa hivi hata mitaani kuna pesa angalau kuliko kipindi cha Magufuli ila wananchi hao hao wamesahau ukata wa kipindi cha Magufuli, wanaanza kumtukuza Magufuli
Huu ni uchawi sio bure
Huwezi kuelewa mpaka giza la Maguful likutoke.Mkuu sikuelewi huenda kwa kuwa ni usiku itakuwa sababu ni usingizi
Ni Kweli kbs, hawawezi kuvumilia njaa ht siku moja, wako radh wauze makochi, samani za ndani, mifugo...nk.Viongozi wa Kiislam wana nafuu sana.
Samahani kama religious people mtakeleka lakini huu ndio ukweli
Uchawi ni wale wanaolazimisha kila mtu amchukie Magufuli. Hata jambazi kuna sehemu linapendwa we endelea kukariri maisha. Ulivyomchukia na kuja na visababu mtoto hivi ni uchwara tu. Vitu vikipanda bei ujue na TRA makusanyo yake figures zitapanda. Ubategemea mafuta yafike elfu 3000+ tra ipate kodi sawa na mafuta yaliyokuwa 2000+? Tumia akili kidogo kufanya comparisonHabari za usiku wazee!
Hayati Magufuli kwa kipindi cha miaka 6 ya uongozi wake kazidiwa na mwaka mmoja wa Samia katika kutoa ajira rasmi tena serikalini. Ila cha ajabu bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia.
Je, huu sio uchawi?
Kwenye makusanyo ya fedha Magufuli pamoja na kukusanya pesa kwa kutumia bunduki lakini hajaifikia rekodi ya Samia. Lakini bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia. Huu nao ni uchawi.
Ustawi wa jamii umetulia
Watumishi tumepandishwa madaraja na mwezi huu tunapokea mshahara mwingine.
Lakini cha ajabu bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia.
Huu ni ujuha na uchawi.
Uhuru wa habari.
Sote ni mashahidi, wakati wa Magufuli hakuna TV ya hapa nchini iliyoweza kufanya mahojiano na mwanasiasa wa upinzani . Hakuna tv ya Kibongo iliyorusha hata dk 3 za mkutano wa Tundu Lissu. Lakini bado watu wanaendelea kumtukuza Magufuli kuliko hata Samia.
Sasa hivi hata mitaani kuna pesa angalau kuliko kipindi cha Magufuli ila wananchi hao hao wamesahau ukata wa kipindi cha Magufuli, wanaanza kumtukuza Magufuli
Huu ni uchawi sio bure