MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Asilimia 70% ya Watanzania ni maskini wanaoishi chini ya Tshs 4,400 kwa siku, halafu nauli ya haya mabasi yaani kwenda mjni na kurudi kitaa inagharimu Tsh 1,300 hivyo hiyo ni asilimia 30% ya kipato cha Mtanzania wa kawaida ambao ndio wengi hao 70%.
Wengi wameishia kuyaona yakipita tu lakini hawawezi kuthubutu kuyakaribia, kazi kuyapiga mapicha na kupost humu huku wakiwa wameketi kwenye daladala za kawaida.
Wabongo wasipokua makini hii ndio itakua taswira hata kwa SGR, kama watatumia gharama na nguvu nyingi kuirembesha kwa ajili ya kupiga mapicha kuliko unafuu wa huduma. Ni muhimu kuwakumbuka Watanzania 70% ambao hawawezi kukidhi haya mambo.
---------------------------------
Despite investments of $150 million for the first phase of BRT, the poor are still stuck in traffic on cheaper buses every day. By contrast, those who are wealthy enough to afford the higher fare have the option of cutting travelling time by two hours a day.
Roughly 70 per cent of Tanzanians live on less than Sh4,400 a day (less than $2). Yet a two-way commute along the main branch of the BRT would cost Sh1,300 – that’s a staggering 30 per cent of poor people’s daily income being spent on transport.
By comparison, the same commute by daladala would have cost Sh800
What’s more, the lack of jobs is a major problem in Dar es Salaam, as in many other metropolises in developing countries.
Since BRT buses can carry more passengers than minibuses, about 10 daladalas will be displaced by each BRT bus.
This will have devastating consequences for the 20,000 to 30,000 people employed in public transport.
Why BRT system excludes the poor
Wengi wameishia kuyaona yakipita tu lakini hawawezi kuthubutu kuyakaribia, kazi kuyapiga mapicha na kupost humu huku wakiwa wameketi kwenye daladala za kawaida.
Wabongo wasipokua makini hii ndio itakua taswira hata kwa SGR, kama watatumia gharama na nguvu nyingi kuirembesha kwa ajili ya kupiga mapicha kuliko unafuu wa huduma. Ni muhimu kuwakumbuka Watanzania 70% ambao hawawezi kukidhi haya mambo.
---------------------------------
Despite investments of $150 million for the first phase of BRT, the poor are still stuck in traffic on cheaper buses every day. By contrast, those who are wealthy enough to afford the higher fare have the option of cutting travelling time by two hours a day.
Roughly 70 per cent of Tanzanians live on less than Sh4,400 a day (less than $2). Yet a two-way commute along the main branch of the BRT would cost Sh1,300 – that’s a staggering 30 per cent of poor people’s daily income being spent on transport.
By comparison, the same commute by daladala would have cost Sh800
What’s more, the lack of jobs is a major problem in Dar es Salaam, as in many other metropolises in developing countries.
Since BRT buses can carry more passengers than minibuses, about 10 daladalas will be displaced by each BRT bus.
This will have devastating consequences for the 20,000 to 30,000 people employed in public transport.
Why BRT system excludes the poor