Watanzania mbona ghafla mmerudi nyuma kwenye bidhaa zenu kuuza Kenya?

Watanzania mbona ghafla mmerudi nyuma kwenye bidhaa zenu kuuza Kenya?

Unajitoa ufahamu tulizuia na mauzo ya chakula Kenya hadi mmekuja kutupigia magoti majuzi
Hivi umetumia akili kabla kujibu, kwani ukuta ulijengwa kuzuia exports kuuzwa huku au ulijengwa kuzuia madini kuibiwa.
Hizi ni taarifa rasmi za serikali, ina maana ni mapato ambayo yamesajiriwa na kufikia serikali, hivyo bila ukuta ndio yangeshuka zaidi, lakini kwa vile mumejiaminisha kuwa ukuta ndio muarubaini wa wizi wa madini, ilifaa pawe na ongezeko la mapato.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom