Watanzania mbona mnaichukia Kenya?

Watanzania mbona mnaichukia Kenya?

Sababu mnaijua ,sifa nyingi mnazo mbele Giza.Afu mnajifanya mko vizur in everything,but reality mna mambo magumu.ubeberu umewajaa ,thus why mambo yenu mengi mnaamuliwa.

Majibu mengine wanaleta ALSHABAB
Njaa tupu..
 

Attachments

  • Screenshot_20201215-161111_1.jpg
    Screenshot_20201215-161111_1.jpg
    7.4 KB · Views: 1
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dah bonge la mkasa aisee, ila ulinikomeshea fala sio kwa kunguni hao [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wanapendaga sana rangi nyekundu kichwani kama morani wa kimasai na hivyo nywele zao zilivyoanzia utosini ndio balaa blue [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] wanapenda kuparamia watu kwenye nchi yao na hawawajui vizuri kiundani. Kananitishia kbs hapa mjini with confidence.

Hiyo ya rangi nyekundu[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119] sijui nani anawashaurigi aiseee. Waweza sema moran
 
Tangu nilipojiunga hapa JF, kama kuna jambo moja ambalo nimegundua ni kuwa Watanzania wengi hapa JF wanaichukia Kenya. Sasa sijui chanzo cha chuki ni nini. Pengine nyinyi wenyewe Watanzania mtufafanulie.
Toka mlivyosema aliyetunga wimbo wa malaika ni mkenya mliniboa sana
 
Tatizo una umama sana. Kuandika hujui. Unaparamia kila mtu ccm. Manioko zako. Kila mtu ana interests zake.
You are a protential raw material heading to the infamous geza kiti mtu meat processing plant in subawanga.
 
Tangu nilipojiunga hapa JF, kama kuna jambo moja ambalo nimegundua ni kuwa Watanzania wengi hapa JF wanaichukia Kenya. Sasa sijui chanzo cha chuki ni nini. Pengine nyinyi wenyewe Watanzania mtufafanulie.
Mi nawapenda wakenya hasa madem.
Pia Alikiba alioa Kenya , Diamond alipiga mimba Kenya.

Over.
 
Back
Top Bottom