Watanzania mbona mnakosa adabu namna hii? Mbona mnatreat Wanigeria vibaya namna hii? Hii ni Makosa

Miguna mkenya mwenzenu mmemtimua kama mbwa af mnatuletea habari za Nigeria hapaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Kila mtu afate mambo yake mazoea ya kindezi sio Tanzania ya sasa ilkuw zaman. Then ukiona Tanzania imekukataa, my friend you are the problem to us.
 
Reactions: Oii
hawa viumbe wa naijeria wametupaka matope waAfrika DUNIA nzima. SASA wanaanza kufuatiwa na waKenya.
Wewe mwenye hujawahi kanyaga nje ya Tanzania umejuaje wametuharibia jina dunia nzima? Eliakeem unashangaza sana.
 
[emoji15][emoji15][emoji15] Nawa oo!
 
Good point. That is exactly my thoughts
 
Unachofanyia mwenzako kuwa tayari kufanyiwa pia wewe. Hio ndio ujumbe kwa Watanzania
 

Sidhani kama ni lugha. Tanzania si nchi pekee ambayo Raia wake hawaongei kiingereza. Ila ni kana kwamba kuna roho ya kichawi miongoni mwa wafanyikazi wengine wa kitanzania. Kwa wakati mwingine, mie hufikiri hii hutumika ku-compensate ile "upole" ambao wao huonyesha externally. Yaani mtu mkiwa naye ni rafiki lakini moyoni anapanga kuchoma. Ukiangalia comments kwenye video hiyo, utaona watu wengi wanalalamika kuhusu immigration yao. Kuna black american fulani hutembea katika mataifa ya kiafrika kuonyesha maisha ya waafrika na kueneza sifa njema kuhusu waafrika. Yaani huyu jama "alipendwa" na wanabiashara kule zanzibar lakini kwa kuwa walijua haelewi Kiswahili, walimtusi sana na kumlipisha vitu kwa bei ghali sana. Yaani roho chafu kama ya mchawi.
 
Wewe mwenye hujawahi kanyaga nje ya Tanzania umejuaje wametuharibia jina dunia nzima? Eliakeem unashangaza sana.

Ahaaa haaa haaa
sawa bana tufanye nimeishia mpaka wa tunduma na daraja la umoja.
Teh teh teh tihiii
 
Umenichekesha we jamaa basi tu..
 
Pole, as long as the were Nigerians, then no body, no body would have trusted these criminals, whether they are Doctors or what what!!. Nigerians have tarnished the good image of africans everywhere, whether in Finland or Netherland, we are so happy the way those immigration officers treated these crooks, I wish they could have even been locked up for few hours
 
Mbona wao hawajawahi kutufanyia visa on arrival. All these years they were enjoying visa on arrival in Tz but they didn't return the favour.
 
Wapi hiyo ilitukia
 
I saw the clip, hakutusiwa, alilipishwa tu bei ya juu, ni kitu common kwa tourist areas.
Wewe ndio unakuuza hii issue, sema dak na sekunde ya hiyo clip, alipotusiwa, ww ndio una hiyo roho ya uchawi, coz you can quickly see it from others, how can you generalize all Tz, kisa video clip ya zenji. Kuna watz wa pwani, nyanda za juu kusini, kanda ya kaskazini, kanda ya ziwa, etc, different places, different people, culture.
You are so dumb, we have our reasons, pigeni kelele mpendavyo.
 
Wewe una roho chafu. Simple
 
Sasa watanzania wakianza kukwambia maswahiba waliyo kutana nayo kutoka kwa wakenya hapa patakua padogo. Mimi mwenyewe personaly nina kisanga cha mpangaji mkenya alikua na umama zaidi ya umama. Mwisho likaondoka nakuacha bili ya maji ya miezi zaidi ya mitano. Kwenye biashara ndiyo hamuaminiki kabisa sizani kama nitapiga deal na Mkenya, nina experience mbaya sana na wakenya. Ila siwezi nikasema ni wote, siku izi wakenya tuna ishia kupiga story tu.
 
Oct 14,2018
Dodoma, Tanzania

Tanzania ktk Ulinzi na Usalama

Tanzania ijitayarishe kiusalama kwa matukio mapya na mageni ya kiuhalifu, ili nchi isiwe kama Nigeria au Kenya. Vyombo vya Usalama Tanzania vijikite ktk kutathimini taarifa na kuotea uhalifu mpya unaoweza kulinyemelea taifa la Tanzania. Hayo yesemwa na Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania.

WAKATI giza nene likiwa bado limetanda juu ya tukio la kutekwa nyara na mahali alipo mfanyabiashara maarufu nchini, Afrika na duniani, Mohammed Dewji maarufu pia kwa jina la Mo, Waziri Mkuu mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , John Malecela ametoa kauli nzito juu ya tukio hilo.
Source: mtanzania digital
 
True wakafilie mbali walahi
Mijitu mikatili, unapita Lagos unakutana na maiti imelala barabarani na hamna anayeshtuka walahi
Hawana heshima na uhai wa binadamu walahi
Wewe wacha porojo. Uliwahi kufika Lagos ukashuhudia hili?
 
Tanzanians are the real enemy of pan Africanism. Africans need to avaid them[emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
 
Mjaribuni kufukuza wakenya Huko ndio mjue kweli sisi ni nyangau. Fools!
No wonder Kenya imebarikiwa. Kenyans hosts Ethiopians,Somalis,Tanzanians,Ugandans,Nigerians Sudanese etc.... Some of them are now citizens and call kenya home. Mpende waafrika wenzanyu nyinyi. You only deport guilty individuals not innocent people.
 
Watched the video carefully! I think your are not going to travel with permanent resident card! Anywhere in the world you travel using your passport! The passport is your identity and in Tanzania the Nigerian passport holders must have the paper granted from the embassy in Abuja! If they came holding Ireland passports then wangepata visa ASAP! Lets work on rules! Period
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…