Watanzania mbona mnakosa adabu namna hii? Mbona mnatreat Wanigeria vibaya namna hii? Hii ni Makosa

Madakitari wenye taaluma hawawezi fanya hayo. Kuna makongamano yao ya kitaaluma ndio hupaswa kutumia. Ni aibu kwa taaluma.
 
Taasisi husika ndio inapewa lawama. Wewe rudi ukalale, huna makosa.
 
Mimemsub huyu jamaa kule youtube,mwenyewe anakuambia his favorite place in thid planet is zanzibar,anaikubali sana zenj
 
Mnafiki tu wewe fara, eti hutaki kuona, mbona unaona na kuentertain waafrica wa kabila jingine hapo kenya wakiuana na kutusiana.

Ni nani aliyekuambia kuwa ninaona na kuentertain? Mie sina roho chafu ya kichawi
 
Wale Wazenji washenzi sana. Baada ya kumpiga hela wakaanza kurap na kumtukana yule jamaa. Jamaa wa watu akawa anawapigia makofi bila kujua kuwa wanamtukana. Ilinichefua sana Ile video
 
Wakarimu kitu gani? Mwalimu wangu wa Kiswahili Fasihi, Mr. Muthungu kila mara alipenda kucriticize watu wa Kenya, jinsi vile eti tumekosa 'staha' na utu. Alitamani sana angalau wakenya tungekuwa kama Watanzania- "jamii lenye ukomavu sijawahi pata kushuhudia", alivyopenda kusema.

Na tulimuamini sana, sisi wanafunzi. Tulidhani ya kwamba watu wa Kenya ni watu wenye kasoro si haba, hadi siku ile nilikumbana na hawa watanzania mitandaoni wakitucheka na kutukejeli, badala ya kututumia risala za pole kutokana na maafa ya pale Westgate na Lamu.
 
MK254,
Naona upo vizuri ktk kufuatilia habari za Tanzania. Chombo nambari moja cha habari Tanzania ni JamiiForums vingine vinafuatia. Hivyo tuwe pamoja hapa jukwaani kwa habari za kina zilizochambuliwa bila uoga.
 
Ukweli mtupu. Ni wanafiki kuruka
 

Jina la channel mkuu
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ eti mnijeria aje kutoa misaada ?
Hivi huko Nigeria hakuna hata mtoto mwenye flue??

Wapeleke unafki huko They are smuggling heroin by the excuse of medical drugs or else they are scamming white folks by donations pretending they are doing fabricated charities in Tanzania

Many of them are parading on tweeter about this matter till now.
 
nimeiangalia hapa mkuu naona hao wananigeria hawakuweza kupata visa ya kuingia tanzania wakiwa huko ireland na wangetakiwa kujua utaratibu ili uweze kuingia tanzania na pia hao wenzetu huwa ni wakorofi kwa namna fulani kuongea nao kidogo tuu mtaweza zua mzozo mkubwa sana nilishashuhudia hiki kitu addis nikasema kweli hapa kazi ipo nikaja kuona na pengine tena na pia immigration wawe wanaweka updates kwenye tovuti yao kama kweli hakuweka
 
Mbona wao hawajawahi kutufanyia visa on arrival. All these years they were enjoying visa on arrival in Tz but they didn't return the favour.
Nigeria walitumaindi kwasababu ya biafra, Nyerere alipeleka jeshi kule.
 

Ahaaa haaa haaa
povuu unaweza ukawa na MANTIKI nzuri, lkn ikazuiwa na povu.
unataka kuniambia Kenya ndiyo salama in both relative and absolute term. ongea kwa kupanga MAUDHUI, punguza mihemuko.
Teh teh teh tihiii
 
Mimi ni mtanzania kusema kweli sijapata ona watu wanafiki kama watanzania.
 
Ahaaa haaa haaa
povuu unaweza ukawa na MANTIKI nzuri, lkn ikazuiwa na povu.
unataka kuniambia Kenya ndiyo salama in both relative and absolute term. ongea kwa kupanga MAUDHUI, punguza mihemuko.
Teh teh teh tihiii

Hamna sehemu nimesema Kenya ni salama, umedandia bila kusoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…