Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Takwimu zilizotolewa na wizara ya afya ambapo watanzania milioni 7 wanakabiliwa na matatizo ya akili huku matumizi ya teknolojia kama mitandao ikiwa moja ya sababu iliyotajwa na wadau. Msongo wa mawazo pia ni changamoto nyingine inayokumba watanzania.
Wiki hii dunia inaadhimisha wiki ya afya ya akili ambapo kilele chake ni tarehe 10 mwezi huu ikiwa na lengo kuongeza uelewa na kukusanya nguvu kuboresha afya ya akili.
Wiki hii dunia inaadhimisha wiki ya afya ya akili ambapo kilele chake ni tarehe 10 mwezi huu ikiwa na lengo kuongeza uelewa na kukusanya nguvu kuboresha afya ya akili.