GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
"Watanzania Milioni Saba wana matatizo ya Akili kutokana na Changamoto mbali mbali za Kimaisha" Amka na BBC Asubuhi ya Leo.
Na zifuatazo ni sababu Kuu zinazopelekea 'Wadataji' hao ( siyo GENTAMYCINE ) kuwa hivyo.,..
1. Madeni 60%
2. Mahusiano 25%
3. Ajira 10%
4. Kushabikia Yanga SC 3%
5. Kukosa Mbunye 2%
Wahusika poleni sana ila mnakaribishwa mno Hospitali ya Mirembe Mkoani Dodoma kwa Tiba ya Awali.
Huwezi kuwa na tatizo la Akili kama akina Chama, Mwenda na Phiri wanakufurahisha Kimataifa ( tena Ugenini ) ila ukiwa Umeshindwa Kwako Nyumbani na unaenda Machinjioni Ugenini ambako unaenda Kufa ni lazima tu 'Udate' Kiakili na uwe na Wivu na wale Wazoefu wa Shughuli za Kimataifa na za Kuiheshimisha nchi na Watanzania Kiujumla.
Na zifuatazo ni sababu Kuu zinazopelekea 'Wadataji' hao ( siyo GENTAMYCINE ) kuwa hivyo.,..
1. Madeni 60%
2. Mahusiano 25%
3. Ajira 10%
4. Kushabikia Yanga SC 3%
5. Kukosa Mbunye 2%
Wahusika poleni sana ila mnakaribishwa mno Hospitali ya Mirembe Mkoani Dodoma kwa Tiba ya Awali.
Huwezi kuwa na tatizo la Akili kama akina Chama, Mwenda na Phiri wanakufurahisha Kimataifa ( tena Ugenini ) ila ukiwa Umeshindwa Kwako Nyumbani na unaenda Machinjioni Ugenini ambako unaenda Kufa ni lazima tu 'Udate' Kiakili na uwe na Wivu na wale Wazoefu wa Shughuli za Kimataifa na za Kuiheshimisha nchi na Watanzania Kiujumla.