Watanzania Milioni Saba 'Wamedata' Kiakili

Watanzania Milioni Saba 'Wamedata' Kiakili

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Watanzania Milioni Saba wana matatizo ya Akili kutokana na Changamoto mbali mbali za Kimaisha" Amka na BBC Asubuhi ya Leo.

Na zifuatazo ni sababu Kuu zinazopelekea 'Wadataji' hao ( siyo GENTAMYCINE ) kuwa hivyo.,..

1. Madeni 60%
2. Mahusiano 25%
3. Ajira 10%
4. Kushabikia Yanga SC 3%
5. Kukosa Mbunye 2%

Wahusika poleni sana ila mnakaribishwa mno Hospitali ya Mirembe Mkoani Dodoma kwa Tiba ya Awali.

Huwezi kuwa na tatizo la Akili kama akina Chama, Mwenda na Phiri wanakufurahisha Kimataifa ( tena Ugenini ) ila ukiwa Umeshindwa Kwako Nyumbani na unaenda Machinjioni Ugenini ambako unaenda Kufa ni lazima tu 'Udate' Kiakili na uwe na Wivu na wale Wazoefu wa Shughuli za Kimataifa na za Kuiheshimisha nchi na Watanzania Kiujumla.
 
rais wa mapopoma wote duniani akikosa kwenye hiyo idadi, aisee nakata rufaa.
 
"Watanzania Milioni Saba wana matatizo ya Akili kutokana na Changamoto mbali mbali za Kimaisha" Amka na BBC Asubuhi ya Leo.

Na zifuatazo ni sababu Kuu zinazopelekea 'Wadataji' hao ( siyo GENTAMYCINE ) kuwa hivyo.,..

1. Madeni 60%
2. Mahusiano 25%
3. Ajira 10%
4. Kushabikia Yanga SC 3%
5. Kukosa Mbunye 2%

Wahusika poleni sana ila mnakaribishwa mno Hospitali ya Mirembe Mkoani Dodoma kwa Tiba ya Awali.

Huwezi kuwa na tatizo la Akili kama akina Chama, Mwenda na Phiri wanakufurahisha Kimataifa ( tena Ugenini ) ila ukiwa Umeshindwa Kwako Nyumbani na unaenda Machinjioni Ugenini ambako unaenda Kufa ni lazima tu 'Udate' Kiakili na uwe na Wivu na wale Wazoefu wa Shughuli za Kimataifa na za Kuiheshimisha nchi na Watanzania Kiujumla.

Wale wenye matumaini na Ccm
 
"Watanzania Milioni Saba wana matatizo ya Akili kutokana na Changamoto mbali mbali za Kimaisha" Amka na BBC Asubuhi ya Leo.

Na zifuatazo ni sababu Kuu zinazopelekea 'Wadataji' hao ( siyo GENTAMYCINE ) kuwa hivyo.,..

1. Madeni 60%
2. Mahusiano 25%
3. Ajira 10%
4. Kushabikia Yanga SC 3%
5. Kukosa Mbunye 2%

Wahusika poleni sana ila mnakaribishwa mno Hospitali ya Mirembe Mkoani Dodoma kwa Tiba ya Awali.

Huwezi kuwa na tatizo la Akili kama akina Chama, Mwenda na Phiri wanakufurahisha Kimataifa ( tena Ugenini ) ila ukiwa Umeshindwa Kwako Nyumbani na unaenda Machinjioni Ugenini ambako unaenda Kufa ni lazima tu 'Udate' Kiakili na uwe na Wivu na wale Wazoefu wa Shughuli za Kimataifa na za Kuiheshimisha nchi na Watanzania Kiujumla.
Mahusiano yana wadrive crazy sijui kwanini
 
"Watanzania Milioni Saba wana matatizo ya Akili kutokana na Changamoto mbali mbali za Kimaisha" Amka na BBC Asubuhi ya Leo.

Na zifuatazo ni sababu Kuu zinazopelekea 'Wadataji' hao ( siyo GENTAMYCINE ) kuwa hivyo.,..

1. Madeni 60%
2. Mahusiano 25%
3. Ajira 10%
4. Kushabikia Yanga SC 3%
5. Kukosa Mbunye 2%

Wahusika poleni sana ila mnakaribishwa mno Hospitali ya Mirembe Mkoani Dodoma kwa Tiba ya Awali.

Huwezi kuwa na tatizo la Akili kama akina Chama, Mwenda na Phiri wanakufurahisha Kimataifa ( tena Ugenini ) ila ukiwa Umeshindwa Kwako Nyumbani na unaenda Machinjioni Ugenini ambako unaenda Kufa ni lazima tu 'Udate' Kiakili na uwe na Wivu na wale Wazoefu wa Shughuli za Kimataifa na za Kuiheshimisha nchi na Watanzania Kiujumla.
Vibonde kama vibonde tu... wenzenu walijipigia 6
IMG-20221010-WA0001.jpg
IMG-20221010-WA0000.jpg
 
Hii siyo changamoto ya akili kweli?👇😁😁😁
 
Bora alikufa zake ndio aliwafanya mdate sana.pata picha angekuwepo mpk ss
 
Back
Top Bottom