Watanzania mjifunze kukataa Ujinga. Hayati Magufuli hakuwa mbaya kiasi hicho. Kuhusu watekaji na wauaji, CCM na CHADEMA wahojiwe

Watanzania mjifunze kukataa Ujinga. Hayati Magufuli hakuwa mbaya kiasi hicho. Kuhusu watekaji na wauaji, CCM na CHADEMA wahojiwe

HUMAN ERROR

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2024
Posts
318
Reaction score
627
Sio lisemwalo liko sawa, kutomuelewa Magufuli inaakisi umasikini tulionao kwamba umeanzia kwenye vichwa vyetu

Watanzania mjifunze kukataa Ujinga Magufuli hakuwa mbaya kiasi hicho na kuhusu watekaji, wauaji CCM na CHADEMA wahojiwe.

The guy did everything for the country ndio ukweli huo.
 
Sio lisemwalo liko sawa , kutomuelewa Magugufuli inaakisi umasikini tulionao kwamba umeanzia kwenye vichwa vyetu

Watanzania mjifunze kukataa Ujinga Magufuli hakuwa mbaya kiasi hicho na kuhusu watekaji ,wauaji CCM na CHADEMA wahojiwe .

The guy did everything for the country ndio ukweli huo
Mambo haya yameanza lini kwa kasi hii?
 
Sio lisemwalo liko sawa , kutomuelewa Magugufuli inaakisi umasikini tulionao kwamba umeanzia kwenye vichwa vyetu

Watanzania mjifunze kukataa Ujinga Magufuli hakuwa mbaya kiasi hicho na kuhusu watekaji ,wauaji CCM na CHADEMA wahojiwe .

The guy did everything for the country ndio ukweli huo
Hakika huu utekaji una mkono wa wapinzani 💯, kibaya walitumia propaganda za kumchafua Dkt Magufuli na media zote walinunua na kuweka mawakala kuhakikisha Dkt Magufuli anachafuka. Na alipofariki walishangilia kinoma wakisema eti watu hawatatekwa tena oh mara watu hawatapatikana kwenye viroba ila leo tunaendelea kuona mauaji na utekwaji uliozidi kila kona ya nchi. Nadhani mbowe na ayatolla zitto waminywe korodani zao wasema nani anawapa hela kuichafua nchi
 
Sio lisemwalo liko sawa, kutomuelewa Magugufuli inaakisi umasikini tulionao kwamba umeanzia kwenye vichwa vyetu

Watanzania mjifunze kukataa Ujinga Magufuli hakuwa mbaya kiasi hicho na kuhusu watekaji, wauaji CCM na CHADEMA wahojiwe.

The guy did everything for the country ndio ukweli huo.
Kama wewe ni muoga wa kuandika mambo mazito kama haya bora tu ungenyamaza kimya izi issue za utekaji na mauaji ni issue nyeti na serious unadhani vyombo vinavyo usika vimelala na haviyajui njia yakufanya mpaka uwaelekeze. Angalia watu wanauliwa na kutekwa na njia za uchunguzi zinavyokwenda unamaana kusoma ujui na picha je. Sibiri siku usikie Laptop ya Jaji imeibiwa ndipo utakapo jua umairi wa vyombo vya dola vya nchi hii.
 
Sio lisemwalo liko sawa, kutomuelewa Magugufuli inaakisi umasikini tulionao kwamba umeanzia kwenye vichwa vyetu

Watanzania mjifunze kukataa Ujinga Magufuli hakuwa mbaya kiasi hicho na kuhusu watekaji, wauaji CCM na CHADEMA wahojiwe.

The guy did everything for the country ndio ukweli huo.
Be saanane yuko wapi?
Meko ndio alikuwa muuaji mkubwa na nfio muasisi wa haya yanayotekea sasa hivi
 
Hakika huu utekaji una mkono wa wapinzani 💯, kibaya walitumia propaganda za kumchafua Dkt Magufuli na media zote walinunua na kuweka mawakala kuhakikisha Dkt Magufuli anachafuka. Na alipofariki walishangilia kinoma wakisema eti watu hawatatekwa tena oh mara watu hawatapatikana kwenye viroba ila leo tunaendelea kuona mauaji na utekwaji uliozidi kila kona ya nchi. Nadhani mbowe na ayatolla zitto waminywe korodani zao wasema nani anawapa hela kuichafua nchi
Sema yoteeee!
 
Tangu mwanzo wa kelele za mauwaji na utekaji zilizohusishwa na Magufuli, sikuwahi kukubali na stokubali huo upuuzi wa siasa za kijinga

Gazeti la Chadema liliandika kupotea kwa Ben Sa 8 siku ya mwisho kuonekana alikuwa na Mbowe

Halafu wapumbavu wakasema ni Magufuli

Naamini, hata Lissu akija kukaa akatuliza vizuri akili yake, atakuja kugundua zile lisasi ni njama iliyosukwa kwa weredi kubwa kutoka huko huko

Hivi ni kivipi sasa Chadema wanaibukiana na kuanza kutofautiana kihivyo? Je, ni hizi hizi siasa zilizopo au kuna lile limejificha kuwahusu M/kiti na makamo wake?

Tanzania ilimpoteza mtu wa mhimu mno kuwahi kutokea RIP JPM
 
Sio lisemwalo liko sawa, kutomuelewa Magufuli inaakisi umasikini tulionao kwamba umeanzia kwenye vichwa vyetu

Watanzania mjifunze kukataa Ujinga Magufuli hakuwa mbaya kiasi hicho na kuhusu watekaji, wauaji CCM na CHADEMA wahojiwe.

The guy did everything for the country ndio ukweli huo.
JPM au Mwendazake ndio muanzilishi wa utekaji 2015. Hata kama ilikuwepo huko nyuma ila yeye ndio aliendelezaji zaidi tena wakati mwingine kwa maelekezo waziwazi kuwa msaliti hastahili kuishi.
 
Tangu mwanzo wa kelele za mauwaji na utekaji zilizohusishwa na Magufuli, sikuwahi kukubali na stokubali huo upuuzi wa siasa za kijinga

Gazeti la Chadema liliandika kupotea kwa Ben Sa 8 siku ya mwisho kuonekana alikuwa na Mbowe

Halafu wapumbavu wakasema ni Magufuli

Naamini, hata Lissu akija kukaa akatuliza vizuri akili yake, atakuja kugundua zile lisasi ni njama iliyosukwa kwa weredi kubwa kutoka huko huko

Hivi ni kivipi sasa Chadema wanaibukiana na kuanza kutofautiana kihivyo? Je, ni hizi hizi siasa zilizopo au kuna lile limejificha kuwahusu M/kiti na makamo wake?

Tanzania ilimpoteza mtu wa mhimu mno kuwahi kutokea RIP JPM
po siku Lisu ataujua ukweli..
 
Sio lisemwalo liko sawa, kutomuelewa Magufuli inaakisi umasikini tulionao kwamba umeanzia kwenye vichwa vyetu

Watanzania mjifunze kukataa Ujinga Magufuli hakuwa mbaya kiasi hicho na kuhusu watekaji, wauaji CCM na CHADEMA wahojiwe.

The guy did everything for the country ndio ukweli huo.
Polisi ndiyo wanaopaswa kufanya kazi ili kama ni michezo wanaicheza vyama pinzani na ccm waing'amue waje na ushahidi na kuwachukulia hatua za kisheria. Hii ni kazi ya polisi. Lakini kwa sababu walioko juu hawajali, polisi hawaeleweki basi bila shaka kinachoendelea kinawanufaisha.
ukitaka kujua uwezo huo wanao, mfano alipouliwa kamanda yule wa mwanza, polisi ndani ya siku moja walikamata wahusika wote.
 
022021114159.jpg
 
Sio lisemwalo liko sawa, kutomuelewa Magufuli inaakisi umasikini tulionao kwamba umeanzia kwenye vichwa vyetu

Watanzania mjifunze kukataa Ujinga Magufuli hakuwa mbaya kiasi hicho na kuhusu watekaji, wauaji CCM na CHADEMA wahojiwe.

The guy did everything for the country ndio ukweli huo.
Unamkampenia marehemu ? 😂😂
 
Back
Top Bottom