Watanzania mjifunze kukataa Ujinga. Hayati Magufuli hakuwa mbaya kiasi hicho. Kuhusu watekaji na wauaji, CCM na CHADEMA wahojiwe

Watanzania mjifunze kukataa Ujinga. Hayati Magufuli hakuwa mbaya kiasi hicho. Kuhusu watekaji na wauaji, CCM na CHADEMA wahojiwe

Be saanane yuko wapi?
Meko ndio alikuwa muuaji mkubwa na nfio muasisi wa haya yanayotekea sasa hivi
Utakuwa umezaliwa mwaka juzi ndugu yangu, unamjua Kolimba wewe? Unamjua Mwangosi wewe? Unamjua Dr. Ulimboka wewe, sidhani kama unawajua hawa ndugu na majanga waliyopitia kabla kijiti hakijamfikia JPM.
 
Sio lisemwalo liko sawa, kutomuelewa Magufuli inaakisi umasikini tulionao kwamba umeanzia kwenye vichwa vyetu

Watanzania mjifunze kukataa Ujinga Magufuli hakuwa mbaya kiasi hicho na kuhusu watekaji, wauaji CCM na CHADEMA wahojiwe.

The guy did everything for the country ndio ukweli huo.
Magufuli ndio muasisi wa tabia hizi za utekaji, kwa sasa watu wanamwagilia tu mti aliouotesha. Inshort Magufuli alikuwa shetani katika sura ya binadamu.
 
Sio lisemwalo liko sawa, kutomuelewa Magufuli inaakisi umasikini tulionao kwamba umeanzia kwenye vichwa vyetu

Watanzania mjifunze kukataa Ujinga Magufuli hakuwa mbaya kiasi hicho na kuhusu watekaji, wauaji CCM na CHADEMA wahojiwe.

The guy did everything for the country ndio ukweli huo.

Ni mtizamo wako. Usilazimishe kila mtu akubali. Ila Magufuli ndio mwasisi wa huu ujinga
 
Hakika huu utekaji una mkono wa wapinzani 💯, kibaya walitumia propaganda za kumchafua Dkt Magufuli na media zote walinunua na kuweka mawakala kuhakikisha Dkt Magufuli anachafuka. Na alipofariki walishangilia kinoma wakisema eti watu hawatatekwa tena oh mara watu hawatapatikana kwenye viroba ila leo tunaendelea kuona mauaji na utekwaji uliozidi kila kona ya nchi. Nadhani mbowe na ayatolla zitto waminywe korodani zao wasema nani anawapa hela kuichafua nchi

Uzuri Magufuli alipata kinachomstahili. Huwezi kumwaga damu za watu ukaishi. Akafa kifo Cha aibu
 
Sio lisemwalo liko sawa, kutomuelewa Magufuli inaakisi umasikini tulionao kwamba umeanzia kwenye vichwa vyetu

Watanzania mjifunze kukataa Ujinga Magufuli hakuwa mbaya kiasi hicho na kuhusu watekaji, wauaji CCM na CHADEMA wahojiwe.

The guy did everything for the country ndio ukweli huo.
Sasa hivi Tundu Lissu angekuwa amesha oza
 
Tangu mwanzo wa kelele za mauwaji na utekaji zilizohusishwa na Magufuli, sikuwahi kukubali na stokubali huo upuuzi wa siasa za kijinga

Gazeti la Chadema liliandika kupotea kwa Ben Sa 8 siku ya mwisho kuonekana alikuwa na Mbowe

Halafu wapumbavu wakasema ni Magufuli

Naamini, hata Lissu akija kukaa akatuliza vizuri akili yake, atakuja kugundua zile lisasi ni njama iliyosukwa kwa weredi kubwa kutoka huko huko

Hivi ni kivipi sasa Chadema wanaibukiana na kuanza kutofautiana kihivyo? Je, ni hizi hizi siasa zilizopo au kuna lile limejificha kuwahusu M/kiti na makamo wake?

Tanzania ilimpoteza mtu wa mhimu mno kuwahi kutokea RIP JPM

Uzuri Magufuli alipata kinachomstahili.
 
Sio lisemwalo liko sawa, kutomuelewa Magufuli inaakisi umasikini tulionao kwamba umeanzia kwenye vichwa vyetu

Watanzania mjifunze kukataa Ujinga Magufuli hakuwa mbaya kiasi hicho na kuhusu watekaji, wauaji CCM na CHADEMA wahojiwe.

The guy did everything for the country ndio ukweli huo.
Bado sijakuelewa.
 
Utakuwa umezaliwa mwaka juzi ndugu yangu, unamjua Kolimba wewe? Unamjua Mwangosi wewe? Unamjua Dr. Ulimboka wewe, sidhani kama unawajua hawa ndugu na majanga waliyopitia kabla kijiti hakijamfikia JPM.

Hao wote uliowataja hawakutekwa, waliuawa. Ila Ben Saanane na Azory walipotezwa mpaka Leo.
 
Sio lisemwalo liko sawa, kutomuelewa Magufuli inaakisi umasikini tulionao kwamba umeanzia kwenye vichwa vyetu

Watanzania mjifunze kukataa Ujinga Magufuli hakuwa mbaya kiasi hicho na kuhusu watekaji, wauaji CCM na CHADEMA wahojiwe.

The guy did everything for the country ndio ukweli huo.
Magufuli alikuwa hovyo sana na ndiye muasisi wa unachotaka kumtenganisha nacho
 
Magufuli alikuwa Shetani. Very stupid idiot. Unaua wenzako wakati na wewe ni binadamu.
 
po siku Lisu ataujua ukweli..

Mbona ukweli kashaujua. Kuwa Magufuli akisaidiwa na Makonda ndio walihusika kumshambilia. Tuupe muda wakati mambo yote yatakuwa wazi. Alitaka kumuua Lissu akafa yeye Lissu bado yupo.
 
Tangu mwanzo wa kelele za mauwaji na utekaji zilizohusishwa na Magufuli, sikuwahi kukubali na stokubali huo upuuzi wa siasa za kijinga

Gazeti la Chadema liliandika kupotea kwa Ben Sa 8 siku ya mwisho kuonekana alikuwa na Mbowe

Halafu wapumbavu wakasema ni Magufuli

Naamini, hata Lissu akija kukaa akatuliza vizuri akili yake, atakuja kugundua zile lisasi ni njama iliyosukwa kwa weredi kubwa kutoka huko huko

Hivi ni kivipi sasa Chadema wanaibukiana na kuanza kutofautiana kihivyo? Je, ni hizi hizi siasa zilizopo au kuna lile limejificha kuwahusu M/kiti na makamo wake?

Tanzania ilimpoteza mtu wa mhimu mno kuwahi kutokea RIP JPM
NAUNGA MKONO KWA ASILIMIA MIA HIYO SENTENSI YA MWISHO.
 
Be saanane yuko wapi?
Meko ndio alikuwa muuaji mkubwa na nfio muasisi wa haya yanayotekea sasa hivi
Wewe hujui tu! Magufuli watu walimchafua sana,Walitekana ili kuhakikisha anachafuka ila kwangu naweza kusema watu hata wa system walimhujumu sana JPM!
 
Sio lisemwalo liko sawa, kutomuelewa Magufuli inaakisi umasikini tulionao kwamba umeanzia kwenye vichwa vyetu

Watanzania mjifunze kukataa Ujinga Magufuli hakuwa mbaya kiasi hicho na kuhusu watekaji, wauaji CCM na CHADEMA wahojiwe.

The guy did everything for the country ndio ukweli huo.
2019 & 2020 ALIVURUGA UCHAGUZI KWA KUKIUKA SHERIA NA KATIBA
NA MATATIZO YAKAANZIA HAPO
 
Back
Top Bottom