Watanzania mjifunze, ni suala la muda tu baadhi ya hawa waliotemwa uwaziri watarudishwa

Watanzania mjifunze, ni suala la muda tu baadhi ya hawa waliotemwa uwaziri watarudishwa

Maisha yanaenda Kasi sana! Yaani hivi sasa Msigwa ana hadhi kuliko Nape na Makamba ndani ya ccm.
 
I concur with the author of this article ,hizi stage movie tu kutuzuga nafikiri wanatuchungulia katika kioo wanatucheka ,na i assume watakuwa walikaa kikao wamekubaliana wafanye moja mbili tatu ili kutimiza adhima,yao .Ni sawa ni mtu mkubwa anapo mwambia mtoto Mdogo tema mate ni mpige huyu mchokozi alafu anatema mate alafu unazuga kama umepiga bonge la kofi kwa kujipiga wewe mwenyewe Kofi alafu katoto kanafurahi kwa mchokozi amepigwa kumbe ni danganya toto kula nyama mbichi.
 
Back
Top Bottom