Watanzania mkifika nje ya nchi jiandikisheni Ubalozini. Ona lawama kibao kwa Serikali wakati Ubalozi haujui kuwa wengi mko Ukraine

Watanzania mkifika nje ya nchi jiandikisheni Ubalozini. Ona lawama kibao kwa Serikali wakati Ubalozi haujui kuwa wengi mko Ukraine

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Watanzania mkifika nje ya nchi jiandikisheni ubalozini ona sasa lawama kibao kwa serikali wakati ubalozi hauwajui wengi wenu kuwa mko Ukraine serikali iwasaidieje wakati mliingia kimya kimya kama vibaka.

Nchi za wenzetu wakifika wananchi walienda hutoa report ubalozini kuwa wako nchi hiyo si lazima waseme kwa shughuli gani wana report kuwa wapo mji fulani eneo fulani.

Kureport ni bure aweza report hata kwa Email ukiambstanisha copy ya Passport yako na contacts zako
Likitokea la kutokea Balozi wanajua afanyaje na awasilianaje na wewe

Watanzania lawama kibao kwa Serikali zimekuwa zikitolewa mfano mavurugu yalipotokea Afrika kusini serikali ililaumiwa na la Ukraine serikali inalaumiwa lakini ukienda register ya Watanzania waliojisajili ubalozini aweza ikuta tupu. Kelele zinalipuka tu nyumbani oh Serikali iokoe watanzania walioko Ukraine mbona nchi zingine wanaokoa.Nchi hizo zingine wana Rekodi za watu wao kule ndio maana rahisi

Sasa balozi mlitaka apite na gari ya matangazo mira ya Ukraine kutangaza kuwa kama kuna mtanzania aje gari ya matangazo yupo balozi hapa wakati mabomu ya Urusi yanarindima?

Tubadilike
 
Kwani wakati wana ondoka wana pitia wapi serikali isijue? Ofisi za uhamiaji pale airport zina kazi gani? Mbona wana tuhoji paka jina la wife na watoto kijiji shughuri kwanini wasijue idadi ya watu. Serikali zetu hamna kitu kama vitamburisho vya taifa kutoa ni shida ndo waweze hilo.
 
Kwani wakati wana ondoka wana pitia wapi serikali isijue? Ofisi za uhamiaji pale airport zina kazi gani? Mbona wana tuhoji paka jina la wife na watoto kijiji shughuri kwanini wasijue idadi ya watu......serikali zetu hamna kitu kama vitamburisho vya taifa kutoa ni shida ndo waweze hilo
Uhamiaji iko chini ya wizara ya mambo ya ndani ,balozi ziko chini ya wizar ya mambo ya nje.

Airport huandiki utafikia mtaa gani na contacts za simu kule utatumia zipi

Pia unskoenda mfano yanaenda kutafuta maisha si lazima uishie nchi uliyoanfika ulipoondoka waweza fika kule kukaa kidogo ukaondoka na ndege kwenda nchi nyingine .Huko airport unayoondokea hakuna ofisi ya uhamiaji ya Tanzania.

Ndio maana ukifika muhimu kujiandikisha.

Hayo maswali ya airport kupotezeana muda tu waache mtu atimke zake
 
Watanzania mkifika nje ya nchi jiandikisheni ubalozini ona sasa lawama kibao kwa serikali wakati ubalozi hauwajui wengi wenu kuwa mko Ukraine serikali iwasaidieje wakati mliingia kimya kimya kama vibaka...
Huo Ubalozi wa Tanzania huko Ukraine uko mji gani .....!!

Anyway, inaelekea hujawahi kuishi nje ya nchi na ukaona ni jinsi gani balozi zetu zinavyoendeshwa na jinsi gani maafisa wanavyobehave. Ungejua hayo basi ungejua ni kwa nini watu hawana mpango wa kuwa karibu na Balozi zetu!!
 
Kazi ya ubalozi nini?
Mojawapo ni kupokea taarifa za watanzania wanaoingia nchi husika kutoka kwa wahusika wenyewe sio ubalozi kuwatafuta mitaani
 
Huo Ubalozi wa Tanzania huko Ukraine uko mji gani .....!!

Anyway, inaelekea hujawahi kuishi nje ya nchi na ukaona ni jinsi gani balozi zetu zinavyoendeshwa na jinsi gani maafisa wanavyobehave ..... Ungejua hayo basi ungejua ni kwa nini watu hawana mpango wa kuwa karibu na Balozi zetu!!
Umeelewa nilichoandika? Ubalozi waweza kuwa mbali au karibu waweza report tu online kwa email si lazima uende kuuza sura ubalozini pale sio sehemu ya kuuza sura au kwenda kuganya njaa ila ukitaka kwenda physical ly kujisajili ruksa jisajili ondoka usianze pirojo au kuganga njaa
 
Umeelewa nilichoandika? Ubalozi waweza kuwa mbali au karibu waweza report tu online kwa email si lazima uende kuuza sura ubalozini pale sio sehemu ya kuuza sura au kwenda kuganya njaa
Kwani hakuna mfumo unaounganisha balozi zote? shame on you
 
Watanzania mkifika nje ya nchi jiandikisheni ubalozini ona sasa lawama kibao kwa serikali wakati ubalozi hauwajui wengi wenu kuwa mko Ukraine serikali iwasaidieje wakati mliingia kimya kimya kama vibaka

Nchi za wenzetu wakifika wananchi walienda hutoa report ubalozini kuwa wako nchi hiyo si lazima waseme kwa shughuli gani wana report kuwa wapo mji fulani eneo fulani.

Kureport ni bure aweza report hata kwa Email ukiambstanisha copy ya Passport yako na contacts zako
Likitokea la kutokea Balozi wanajua afanyaje na awasilianaje na wewe

Watanzania lawama kibao kwa Serikali zimekuwa zikitolewa mfano mavurugu yalipotokea Afrika kusini serikali ililaumiwa na la Ukraine serikali inalaumiwa lakini ukienda register ya watanzania waliojisajili ubalozini aweza ikuta tupu.Kelele zinalipuka tu nyumbani oh Serikali iokoe watanzania walioko Ukraine mbona nchi zingine wanaokoa.Nchi hizo zingine wana Rekodi za watu wao kule ndio maana rahisi

Sasa balozi mlitaka apite na gari ya matangazo mira ya Ukraine kutangaza kuwa kama kuna mtanzania aje gari ya matangazo yupo balozi hapa wakati mabomu ya Urusi yanarindima?

Tubadilike
Kazi za Balozi ni kuhakikisha kila mtanzania anafanya hivyo. Sio kila anaeenda huko anayajua hayo mambo.

Kikubwa bazoli zifanye kazi kwa weledi.
 
Kazi za Balozi ni kuhakikisha kila mtanzania anafanya hivyo. Sio kila anaeenda huko anayajua hayo mambo.
Si kazi ya ubalozi kulazimisha mtu ajisajili ni hiari
Hakuna nchi inalazimisha hilo
 
sasahivi ni mambo ya online mzee, passport ni electronic maanake taarifa zako zinatangulia kabla hata hujafika, wewe wa wapi asee?
Zinatangulia wapi ubalozini au Airport unayoenda kutua kama ni direct flight Mfano unaondoka kuelekea London taarifa zitaenda huo uwanja sio ubalozini
 
Zinatangulia wapi ubalozini au Airport unayoenda kutua kama ni direct flight Mfano unaondoka kuelekea London taarifa zitaenda huo uwanja sio ubalozini
Kuna mfumo pale wizara ya mambo ya nchi ambao umeunganisha balozi zote + uhamiaji but siukumbuki jina
 
🐒🐒🐒
 
Kuna mfumo pale wizara ya mambo ya nchi ambao umeunganisha balozi zote + uhamiaji but siukumbuki jina
Waziri mkuu alisema mifumo mingi ya Serikali haisomani tena wizara ya mambo ya ndani ni worse.NIDA iko Chini ya wizara ya mambo ya ndani ,Na kitengo cha Passport kiko chini ya wizara ya mambo ya ndani lakini system zao hazisomani ndio maana lazima uende na mi hardcopy ya vitambulisho vya NIDA ,Vyeti vya kuzaliwa nk wamezidiwa hadi na kampuni za simu ambazo ukitaka tu namba ya NIDA ukiweka dole tu wanajua mwenyewe

Sasa kama zinashindwa tu kusomana yenyewe ndani kwa ndani huko nje si balaa
 
Uhamiaji iko chini ya wizar ya mambo ya ndani ,balozi ziko chini ya wizar ya mambo ya nje
Airport huandiki utafikia mtaa gani na contacts za simu kule utatumia zip
Pia unskoenda mfano yanaenda kutafuta maisha si lazima uishie nchi uliyoanfika ulipoondoka waweza fika kule kukaa kidogo ukaondoka na ndege kwenda nchi nyingine .Huko airport unayoondokea hakuna ofisi ya uhamiaji ya Tanzania

Ndio maana ukifika muhimu kujiandikisha
Hayo maswali ya airport kupotezeana muda tu waache mtu atimke zake
Lazima kuwe na coordination ya mifume ya ufanyaji kazi

Ni jukumu la serikali kuwa trace raia wake wanapokuwa nje ya nchi

Mambo ya kwenda kujiandikisha ni mambo ya kizamani

Passport inatolewa na mambo ya ndani .

Mambo ya nje lazima waipate hio taarifa kwenye database zao

Ukitoka nje ya nchi uhamiaji(mambo ya ndani) lazika upite kwao data base za wizara zote lazima ziipate hio taarifa. Ukiwa nje ya nchi mambo ya nje wao wana jukumu la kujua wewe uko wapi!? Na una shughuli gani

Haya yote watayapata mambo ya ndani through databases.

Mambo ya kwenda kuandikisha yamepitwa na wakati computer,internet , technology ipo kwa ajili ya kurahisisha ufanyaji kazi kisasa zaidi

Tuache visingiziio

CIA au FBI inaweza jua hadi mtu alie mpitimbi yote hio sababu ya technology

Tuwekeze kwenye mifumo ya kisasa ya taarifa.
 
Kama si jukumu la ubalozi kupata ripoti ya raia was Tanzania walio tembelea nchi fulani basi jukumu hilo liongezwe haraka.
Na ukizingatia kwa sasa passports zimekuwa za kidijitali zaidi basi inakuwa rahisi kwa ofisi za ubalozi kusync taarifa kwa haraka na usahihi kabisa.

YEHODAYA hoja Yako ni nzuri but ni typical analog. Na ukizingatia umbali, muda, majukumu/dhumuni la safari na gharama mtu huwezi kwenda kujiandikisha ubalozini.
Imagine upo mji X na ubalozi wa Tanzania upo mji Z au nchi AA tofauti kabisa.
Hizo gharama nani anahusika??
 
Hii nchi usalama wako ni wewe mwenyewe...!!
 
Back
Top Bottom