Mkuu mifumo mingi ya Serikali haisomani Waziri mkuu aliongea kwa uchungu sana hiloLazima kuwe na coordination ya mifume ya ufanyaji kazi
Ni jukumu la serikali kuwa trace raia wake wanapokuwa nje ya nchi
Mambo ya kwenda kujiandikisha ni mambo ya kizamani...
Hio shida kubwa sanaMkuu mifumo mingi ya Serikali haisomani Wazori mkuu aliongea kwa uchungu sana hilo
Hebu fikiria NIDA na Kitengo cha Passport nchini ya wizara moja ya mambo ya ndani lakini mifumo yao haisomani wakati kampuni za Simu ambazo zina mifumo yao hiyo yao inasomana na BIDA unaweka kidole tu taarifa za NIDA hizo kitengo cha Passport mfumo wao haisomani na NIDA wakati wizara ni moja system zimekuwa developed na wizara hiyo hiyo halafu hawasomani!!
Viongozi wapya wizara ya mambo ya ndani wameanza vizuri kuna mambo wameanza vizuri sana kutatua KeroHio shida kubwa sana
Wizara kuongozwa na watu wasio wabunifu wao wanawaza piga porojo kuzima kelele za wanachi wenye madukuduku...
Siyo hazisomani zinasoma vizuri sn sema shinda ni urasimu kila upande unataka kupiga pesa kivyake, hivyo ni vitengo vya watu mkuuWaziri mkuu alisema mifumo mingi ya Serikali haisomani tena wizara ya mambo ya ndani ni worse.NIDA iko Chini ya wizara ya mambo ya ndani ,Na kitengo cha Passport kiko chino ya wizara ya mambo ya ndani lakini system zao hazisomani ndio maana lazima uende na mi hardcopy ya vitambulisho vya NIDA ,Vyeti vya kuzaliwa no wamezidiwa hadi na kampuni za simu ambazo ukitaka tu namba ya NIDA ukiweka dole tu wanajua mwenyewe
Sasa kama zinashindwa tu kusomana yenyewe ndani kwa ndani huko nje si balaa
Anyway wanajilimbikizia mipesa ya dhuluma utafikiri wataishi milele na hiyo mipesa at the expense of wananchiSiyo hazisomani zinasoma vizuri sn sema shinda ni urasimu kila upande unataka kupiga pesa kivyake, hivyo ni vitengo vya watu mkuu
Watu wengi hawana exposure ndio maana wanajisemea tu. Yaani mtanzania afike Ukraine then aanze kuprocess visa na kuanza safari ya kwenda Sweden?Huo Ubalozi wa Tanzania huko Ukraine uko mji gani .....!!
Anyway, inaelekea hujawahi kuishi nje ya nchi na ukaona ni jinsi gani balozi zetu zinavyoendeshwa na jinsi gani maafisa wanavyobehave ..... Ungejua hayo basi ungejua ni kwa nini watu hawana mpango wa kuwa karibu na Balozi zetu!!
Hii huenda ikawa ni miradi ya watu ya kupiga pesa. Huenda mfumo wa Passport ungeboreshwa kidogo tu ukabeba sehemu ya kutoa vitambulisho va NIDA tena kwa gharama ndogo. Mimi sijui ila maguru wa fani hii waweza sema.Mkuu mifumo mingi ya Serikali haisomani Waziri mkuu aliongea kwa uchungu sana hilo
Hebu fikiria NIDA na Kitengo cha Passport ni chini ya wizara moja ya mambo ya ndani lakini mifumo yao haisomani wakati kampuni za Simu ambazo zina mifumo yao hiyo yao inasomana na NIDA unaweka kidole tu taarifa za NIDA hizo kitengo cha Passport mfumo wao haisomani na NIDA wakati wizara ni moja system zimekuwa developed na wizara hiyo hiyo halafu hawasomani!!
Waulize walioko huko watakuambia jinsi mabalozi wanavyowakimbia, huwa hawana msaada wowote.Watanzania mkifika nje ya nchi jiandikisheni ubalozini ona sasa lawama kibao kwa serikali wakati ubalozi hauwajui wengi wenu kuwa mko Ukraine serikali iwasaidieje wakati mliingia kimya kimya kama vibaka...
Tatizo liko kwenye hizo ofisi za ubalozi! Mtanzania ukienda huko ubalozini utajuta kwa nini ulienda huko. Ukifika getini mlinzi akakuuliza shida yako na yeye kuipeleka ndani, jibu atakalokuja nalo utaapa kutokurudi tena hapo ubalozini. Kitu wanachowaza haraka ukijitambulisha ni kuwa unataka kuomba msaada kitu ambacho hawataki kabisa kujisikia.Watanzania mkifika nje ya nchi jiandikisheni ubalozini ona sasa lawama kibao kwa serikali wakati ubalozi hauwajui wengi wenu kuwa mko Ukraine serikali iwasaidieje wakati mliingia kimya kimya kama vibaka...
Nchi ambazo tu kuna balozi za Tz, watu wanakaa kinyemera sembuse hiyo ukraine ambako ubalozi wa Tz, uko swiden?!!na hata ujiandikishe kwenye mazingira yetu, usitegemee msaada mkubwa sana!kama hapa S.Afrika tu, mtu amepata matatizo anaenda ubalozini anaambiwa jinsi ulivyokuja ndiyo hivyo hivyo urudi TZ!!hatuna msaada!Watanzania mkifika nje ya nchi jiandikisheni ubalozini ona sasa lawama kibao kwa serikali wakati ubalozi hauwajui wengi wenu kuwa mko Ukraine serikali iwasaidieje wakati mliingia kimya kimya kama vibaka...
Kuwalaumu watanzania ni kuwaonea, kwanini hawakuambiwa huku nyumbani kabla hawajaondoka, why revert the wheel to the victim now?Watanzania mkifika nje ya nchi jiandikisheni ubalozini ona sasa lawama kibao kwa serikali wakati ubalozi hauwajui wengi wenu kuwa mko Ukraine serikali iwasaidieje wakati mliingia kimya kimya kama vibaka.
Ngoja twende Taratibu unataka ubalozi ukupe inauli au? Ndugu zako Tanzania wote walifariki dunia hawawezi kuchangiana wakupe tickets au? Msaada gani unataka ubalozini ? Fafanua wazikama hapa S.Afrika tu, mtu amepata matatizo anaenda ubalozini anaambiwa jinsi ulivyokuja ndiyo hivyo hivyo urudi TZ!!hatuna msaada!!
Una hoja anamjua balozi Siku kadakwa anahitaji dhamana mahakamani! Ya ndiguye au yake!! Siku zingine anajifungia ndani ya geti na kutembea gari vioo vimefungwa tinted kila kona!! Mheshimiwa huyo hahitaji kumjua mtu mdogo kama balozi wa nyumba Kumi hata jina anaitwa nani!Watu hawajuani hata na mabalozi wa nyumba kumi humu nyumbani ndio itakuwa huko kwa wazungu?
Una hoja anamjua balozi Siku kadakwa anahitaji dhamana mahakamani! Ya ndiguye au yake!! Siku zingine anajifungia ndani ya geti na kutembea gari vioo vimefungwa tinted kila kona!! Mheshimiwa huyo hahitaji kumjua mtu mdogo kama balozi wa nyumba Kumi hata jina anaitwa nani!
Akienda nje anaendekeza hiyo tabia
Watanzania mkifika nje ya nchi jiandikisheni ubalozini ona sasa lawama kibao kwa serikali wakati ubalozi hauwajui wengi wenu kuwa mko Ukraine serikali iwasaidieje wakati mliingia kimya kimya kama vibaka...
Mwisho wa siku haya majangili ndiyo yanategemewa kwa misaada kanisani na yana tupu tena kwa msaada wa viongozi wa dini.Anyway wanajilimbikizia mipesa ya dhuluma utafikiri wataishi milele na hiyo mipesa at the expense of wananchi
Mungu yupo.Mungu sio Mzee Athumani