Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Hata kabla ya kuwatoa wana wa Israel utumwani Misri aliujaza moyo wa Farao kiburi.Kwa kweli tunamshukuru Sana Mungu kutuletea jiwe ili chama chakavu kife kibudu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kabla ya kuwatoa wana wa Israel utumwani Misri aliujaza moyo wa Farao kiburi.Kwa kweli tunamshukuru Sana Mungu kutuletea jiwe ili chama chakavu kife kibudu.
Nshomile walimpa za uso live.😂😂😂😂Kama ngome yake ndo anachezea spana vile vipi ngome zisizo zake,kusini wanataka majibu ya korosho zao alizipeleka wapi.
Hata Nyerere angeogopa tusingefika hapa leo Wanaharakati wa mfano wa Lissu ndio wanaoleta mabadiliko ya kweliNaongeza kwa kusema hivi LISSU alikuwa na impact angekuja kugombea 2025 sio hii 2020.Kuna watu wanatamani kujitokeza hadhalani kumpinga jamaa wanaogopa reaction ya jamaa kwa sababu jamaa hana bifu dogo wala kubwa akikubaini we sio kwake siku hiyo hiyo unaanza kuwindwa.
NB:WENGI WANAOGOPA KUJITOKEZA KUMPINGA KWA SABABU WANAJUA AKIPITA WATAKUWA NA HALI MBAYA MNO.
Magufuli anapita Oktoba sababu mnaompinga mnapenda kuongea kuliko kutenda ikiwemo Lissu. Mkitaka mabadiliko ingieni barabarani lakini kama mnasubiri NEC basi mtasubiri sana.Huu ni ujumbe toka kwa sauti ya mtu aliyae nyikani.Baada ya kulimia meno for 5 yrs Safari hii mtalimia kucha tabia ya mtu ni ngozi, furaha yake ni kuona machozi ya watu wakilia. Kuna watu Kama wakipewa haki ya kugawa pumzi duniani wallahi hakuna ambae angebaki duniani...
Hakuna kujipendekeza kwa rais ili uteuliwe. Veto vyote unagomania weka CV na ujieleze kwa wananchi ni kwanini unataka uchaguliwe.Wapigaji mkubali tu kuwa zama zenu zimeshapita na hazitarudi tena,
Magufuli anachukua mitano tena na Rais ajaye atakua strict kuliko wa sasa hivyo kama ulikua na matumaini ya kuiba ndio uandike maumivu jifunze kupata kilicho haki yako tamaa ya utajiri mkubwa unaotokana na fedha haramu zitawaponza wengi.
Dawa yake ni moja tu. Mwaka huu watanzania tunaweza historia. Tunamstaafisha kweli arudi kwao chato akachunge ng’ombe.Naongeza kwa kusema hivi LISSU alikuwa na impact angekuja kugombea 2025 sio hii 2020.Kuna watu wanatamani kujitokeza hadhalani kumpinga jamaa wanaogopa reaction ya jamaa kwa sababu jamaa hana bifu dogo wala kubwa akikubaini we sio kwake siku hiyo hiyo unaanza kuwindwa.
NB:WENGI WANAOGOPA KUJITOKEZA KUMPINGA KWA SABABU WANAJUA AKIPITA WATAKUWA NA HALI MBAYA MNO.
Apiti kibabe Safari hii,Magufuli anapita Oktoba sababu mnaompinga mnapenda kuongea kuliko kutenda ikiwemo Lissu. Mkitaka mabadiliko ingieni barabarani lakini kama mnasubiri NEC basi mtasubiri sana.
Tatizo hamsomi alama. Chaguzi mdogo wamepita kwa ubabe, Wabunge wao kadhaa wamepita bila kupingwa na kuahidi October anapita na hawa wapiga kelele hutawaona barabarani zaidi kupiga kelele kwenye mitandao ni cowards tu.Apiti kibabe Safari hii,
Delete ccm Oct 28Huu ni ujumbe toka kwa sauti ya mtu aliyae nyikani. Baada ya kulimia meno for 5 yrs Safari hii mtalimia kucha tabia ya mtu ni ngozi, furaha yake ni kuona machozi ya watu wakilia. Kuna watu Kama wakipewa haki ya kugawa pumzi duniani Wallah hakuna ambae angebaki duniani.
Kama Kimara waliobomolewa nyumba zao kosa lao kubwa ni kuchagua upinzani, Kama watumishi wa umma wameshughulikiwa haswaa kwa hisia tu walimchagua Lowasa wakinyimwa haki zao kimakusudi, wakiwekewa kikokotoo kianze tumika mwakani ili akistaafu mtu asipate chochote baada ya kutafuna michango yao kwenye mifuko ya hifadhi ya Jamii na kupelekea kuiunganisha baada ya kufilisiwa.
Wewe ni nani hadi utakuwa salama atohitaji kura zenu tena au atabadili katiba ili akutawaleni milele. Mkirudia Tena kosa mmekwishaa mjiandae kwa visasi.
Mwenye sikio na asikie nafasi pekee aliyokupa Mungu ni October ya kuchagua shida au nafuu.
Kwenda kulee....HIV wwtanzania unawajua a huwajui...subir uone Sasa..Muulize Mange kimav akuhadithie...Huu ni ujumbe toka kwa sauti ya mtu aliyae nyikani. Baada ya kulimia meno for 5 yrs Safari hii mtalimia kucha tabia ya mtu ni ngozi, furaha yake ni kuona machozi ya watu wakilia. Kuna watu Kama wakipewa haki ya kugawa pumzi duniani Wallah hakuna ambae angebaki duniani.
Kama Kimara waliobomolewa nyumba zao kosa lao kubwa ni kuchagua upinzani, Kama watumishi wa umma wameshughulikiwa haswaa kwa hisia tu walimchagua Lowasa wakinyimwa haki zao kimakusudi, wakiwekewa kikokotoo kianze tumika mwakani ili akistaafu mtu asipate chochote baada ya kutafuna michango yao kwenye mifuko ya hifadhi ya Jamii na kupelekea kuiunganisha baada ya kufilisiwa.
Wewe ni nani hadi utakuwa salama atohitaji kura zenu tena au atabadili katiba ili akutawaleni milele. Mkirudia Tena kosa mmekwishaa mjiandae kwa visasi.
Mwenye sikio na asikie nafasi pekee aliyokupa Mungu ni October ya kuchagua shida au nafuu.
Anasubiriwa kusini aongezewe dozi ajiandae,ndumba zikiexpire Raha sanaNshomile walimpa za uso live.😂😂😂😂
Watz wale sio Hawa wa Leo.Kwenda kulee....HIV wwtanzania unawajua a huwajui...subir uone Sasa..Muulize Mange kimav akuhadithie...