Watanzania mlioko Lebanon rudini nyumbani tafadhali mko eneo hatari sana

Watanzania mlioko Lebanon rudini nyumbani tafadhali mko eneo hatari sana

Kuna watanzania wanaishi Lebanon ? Sikuwahi fikiria hivyo kabla.

Kuna nchi ukizisikia automatic unazani Watanzania hawako huku, nchi kama hiyo Lebanon, Iran, Iraq, Afghanistan, Yemen na Syria.
 
Ni bora uwe majivu kuliko kurudi huku ambako nifugo na binadamu wanajumuika kunywa maji...
 
Watapataje ujumbe? Simu wanaziogopa. Pager zinalipuka, pana taka, radio call nazo kapeto.

Wajameni utani mbali. Hawa jamaa wanuwawa kama sisimizi.

Hii ni Genocide kabisa. duh. Ua ua tu😭😭😭😭😭🐼
 
Watapataje ujumbe? Simu wanaziogopa. Pager zinalipuka, pana taka, radio call nazo kapeto.

Wajameni utani mbali. Hawa jamaa wanuwawa kama sisimizi.

Hii ni Genocide kabisa. duh. Ua ua tu😭😭😭😭😭🐼

Mayahudi ndivyo yalivyo.
Stori za Biblia ukizisoma unaweza kupata picha kidogo hao watu wakoje.
 
Y
Kuna watanzania wanaishi Lebanon ? Sikuwahi fikiria hivyo kabla.

Kuna nchi ukizisikia automatic unazani Watanzania hawako huku, nchi kama hiyo Lebanon, Iran, Iraq, Afghanistan, Yemen na Syria.
Yemen wapo kibao!
 
Watanzania walio wengi hikon Lebanon ni wale wa rangi ya kijani.wabakie huko tu.
 
Kuna watanzania wanaishi Lebanon ? Sikuwahi fikiria hivyo kabla.

Kuna nchi ukizisikia automatic unazani Watanzania hawako huku, nchi kama hiyo Lebanon, Iran, Iraq, Afghanistan, Yemen na Syria.
Wapo mbona wengi tu hamna nchi kwenye hii dunia ambapo hayupo mtanzania
 
Back
Top Bottom