Watanzania mlioko Lebanon rudini nyumbani tafadhali mko eneo hatari sana

Watanzania mlioko Lebanon rudini nyumbani tafadhali mko eneo hatari sana

Kuna watanzania wanaishi Lebanon ? Sikuwahi fikiria hivyo kabla.

Kuna nchi ukizisikia automatic unazani Watanzania hawako huku, nchi kama hiyo Lebanon, Iran, Iraq, Afghanistan, Yemen na Syria.
niliwai kutana na Mtanzania kijijji kimoja kinaitwa Bouca,Zaidi kilometers Mia 5 toka Bangui.
haikuwa Rahisi kwangu kuamini kuwa kuwa nimekutana na Mtanzania maeneo hayo.
 
Back
Top Bottom