Watanzania mna kichaa!?

Watanzania mna kichaa!?

love life live life

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2021
Posts
2,584
Reaction score
3,051
Kuna mkatoliki aliwahi kuandika kitabu chenye jina la ''Wakatoliki mna kichaa?'' Alikuwa amehama dini flani na kuingia kwenye Ukatoliki.

Leo na mimi naomba niwaulize watanzania(au angalau watanganyika) mna kichaa!?

Hivi ndivyo mataifa au mgeni yeyote akija Tanzania atajiuliza na pengine wajukuu wa wajukuu
wetu watajiuliza, ni kweli tulikuwa na kichaa kwa ujumla wetu!?

Kuna mtu mmoja alipata kusema hakuna kitu cha kipumbavu sana kama kumpa mtu au watu madaraka
ambayo huwezi kuwawajibisha au hawatawajibika kwa chochote watakachofanya.

Magufuli alitumia loophole hiyo,
kikwete alitumia loophole hiyo hiyo,
Mkapa alitumia loophole hiyo hiyo,
Mwinyi alitumia loophole hiyo hiyo,
Nyerere alitumia loophole hiyohiyo,
Na sasa Samia anatumia loophole hiyo hiyo,
Na mwingine atakuja atatumia loophole hiyohiyo.

Na wao wanakiri hilo Kikwete alinukuliwa akisema ukiwa Rais na Mwenyekiti wa CCM unakuwa na nguvu sana!!!, hakumalizia tu kuwa ukiwa hakuna mtu wa kukuwajibisha.

Hili halihitaji maono kuvuviwa na roho wa bwana au malaika kukuonyesha kwenye njonzi. Tutegemee viongozi wa aina hiyohiyo mpaka pale tutakapoweza kuwawajibisha hao tunaowapa madaraka kwani madaraka yanalewesha hasa kama hutawajibika kwa chochote utakachofanya bali tu nafsi na utashi wako utakavyo itakavyokutuma.

Hayati Magufuli alichokifanya cha tofauti mpaka kupigiwa kelele sana ni kuwagusa watu wa chama chake na pengine watu wa nje wenye maslahi yao Tanzania.

Madelu anajua hatawajibiuka kwa chochote atakacho fanya, Januaray anajua hatawajibika kwa chochote atakachofanya, jaribu kuwaza wewe ungefanya nini kama ungejua hutawajibika kwa chochote utakachofanya hata kwenye maisha yako ya kila siku!?

Njia pekee ya kufanya ni kuwawajibisha hawa watu, sio kulalamika, sio kulia lia, sio kusubiri huruma yao la hatuwezi tukae kimya tuendelee kuwa vichaa angalau itasaidia kilo kupoteza mda na nishati kama kelele za chura kwa tembo anayekunywa maji.

nb: Tanzania haijawahi kupata Rais kichaa ila Watanzania wenyewe ndio wana kichaa, Msiniulize mimi nimefanya nini angalau mimi nimehamia Burundi kama Madelu alivyotutaka.
 
Kuna mcatholic aliwahi kuandika kitabu chenye jina la wacatholic mnakichaa?
alikuwa amehama dini flani na kuingia kwenye ucatholic.
Leo na mimi naomba niwaulize watanzania(au angalau watanganyika) mnakichaa!?
Hivi ndivyo mataifa au mgeni yeyote akija Tanzania atajiuliza na pengine wajukuu wa wajukuu
wetu watajiuliza, ni kweli tulikuwa na kichaa kwa ujumla wetu!?
Kuna mtu mmoja alipata kusema hakuna kitu cha kipumbavu sana kama kumpa mtu au watu madaraka
ambayo huwezi kuwawajibisha au hawatawajibika kwa chochote watakachofanya.
Magufuli alitumia loophole hiyo,
kikwete alitumia loophole hiyohiyo,
Mkapa alitumia loophole hiyohiyo,
Mwinyi alitumia loophole hiyohiyo,
Nyerere alitumia loophole hiyohiyo,
Na sasa Samia anatumia loophole hiyohiyo,
Na mwingine atakuja atatumia loophole hiyohiyo.
na wao wanakili hilo kikwete alinukuliwa akisema ukiwa raisi na mwenyekiti wa CCM unakuwa
na nguvu sanaaa!!!, hakumalizia tu kuwa ukiwa hakuna mtu wa kukuwajibisha.
Hili halihitaji maono kuvuviwa na roho wa bwana au malaika kukuonyesha kwenye njonzi.
tutegemee viongoz wa aina hiyohiyo mpaka pale tutakapo weza kuwawajibisha
hao tunao wapa madaraka kwani madaraka yanalewesha hasa kama huta wajibika
kwa chochote utakachofanya bali tu nafsi na utashi wako utakavyo itakavyo kutuma.
Magufuli alichokifanya cha tofauti mpaka kupigiwa kelele sana ni kuwa gusa watu
wa chama chake na pengine watu wa nje wenye maslahi yao Tanzania.
Madelu anajua hatawajibiuka kwa chochote atakacho fanya, february anajua hatawajibika
kwa chochote atakachofanya, jaribu kuwaza wewe ungefanya nini kama ungejua hutawajibika
kwa chochote utakachofanya hata kwenye maisha yako ya kila siku!?
Njia pekee ya kufanya ni kuwawajibisha hawa watu, sio kulalamika, sio kulia lia,
sio kusubiri huruma yao la hatuwezi tukae kimya tuendelee kuwa vichaa angalau itasaidia
kilo kupoteza mda na nishati kama kelele za chura kwa tembo anayekunywa maji.
nb: Tanzania haijawahi kupata raisi kichaa ila watanzania wenyewe ndio wanakichaa,
Msiniulize mimi nimefanya nini angalau mimi nimehamia burundi kama madelu alivyotutaka.
Mimi sina kichaa.
 
do not pretend to be rational and objective thinker you don't deserve it.
Nonsense.
There is also sense in Nonsense, That is why Feyeraband said it is always reasonable to try and entertain unreasonable views.

Can you please tell me why you think i dont deserve to be rational and objective thinker?
 
Umeandika kwa uchungu Sana mkuu ila ukweli ulio wazi ni kwamba taifa hili lina mazuzu na mazwazwa ambao ni sawa na akili za nyumbu.

Kutwa kushindana kubishana nani bora Kati ya Ali kiba na Diamond,mijadara ya kijinga ya Simba Na Yanga kwa akili hizi unategemea nani atajivika roho ya kupambania taifa?

Leo akitokea mtu akisema Watanzania tuandamane kupinga matumizi mabaya ya pesa ya umma na Kodi zisizo na kichwa Wala miguu majibu yao utasikia "Nani mimi aanze yeye na familia yake" alafu mtu huyo huyo akikaa kimya utasikia ooh kalamba asali mbona kakaa kimya na shida zetu hizi yaani suala la kuhitaji nguvu ya umma unategemea kikundi fulani ndo ki-fight kwa niaba yako ukitaka ku-prove jambo hili angalia hata hapa JF nyuzi za kumnanga Mbowe, Lissu, Zitto nk utadhani ndo washa wapa ajira ya kuwapigania.
 
Back
Top Bottom