Watanzania mnajifunza nini kwa Taifa letu juu ya andiko hili la Kamala Harris Mgombea Urais wa Marekani kupitia Democrat?

Watanzania mnajifunza nini kwa Taifa letu juu ya andiko hili la Kamala Harris Mgombea Urais wa Marekani kupitia Democrat?

Ndugu zangu Watanzania,

Kila siku huwa ninawaambia na kuwaelekeza mambo mengi sana juu ya changamoto katika uongozi.huwa ninawaambia kuwa changamoto huwa hazikosekani.

lakini kikubwa kinachopaswa kuangaliwa na dhamira ,nia na hatua zinazochukuliwa katika kutatua na kumaliza changamoto na kero husika kama ambavyo imekuwa ikifanya serikali ya CCM chini ya uongozi wa Rais Samia.

Hivi unaweza kufikiria kuwa Marekani iliyopata uhuru wake mwaka 1776 bado inahangaika na kutoa ahadi ya upatikanaji wa maji safi na salama ya kunywa? Unaweza amani hilo? Sasa kama Marekani bado inahangaika na kero hizo ,sisi ni nani mpaka tuanze kumlaumu Rais wetu Mpendwa na CCM wakati tunaona juhudi kubwa anazofanya katika kumaliza changamoto hizo

Kwa kujenga miradi mbalimbali ya maji,kuchimba visima virefu ,kuvuta maji kutoka maeneo ya mbali mpaka kufikisha waliko wananchi pamoja na kuongeza bajeti ya Maji kila mwaka.

Sasa Embu soma hapa Mwenyewe uangalie alichoandika na kusema Kamala HarrisView attachment 3105738

Kwa kuwasaidia wale wasioelewa lugha hiyo ya kizungu ni kuwa.Amemaanisha kwamba Wamarekani wanatakiwa kupata au kuwa na Maji safi na salama ya kunywa.Ndio sababu Joe Biden na Mimi Tumefanya uwekezaji wa kihistoria katika kuboresha miundombinu ya maji na kupanua upatikanaji wa maji safi.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huelewe analozungumza bali umetafsiri maneno tu. Marekani yote (mijini na vijijini) wana maji ya bomba. Hata hivyo baadhi ya mambomba yaliyowekwa zamani sana yameshakuwa na kutu na kusababisha maji yawe machafu. Kamala anachosema ni ubadilishaji wa mabomba hayo ya zamani na kuweka mapya. Siyo kama Tanzania ambako hakuna bomba kabisa.
 
Huelewe analozungumza bali umetafsiri maneno tu. Marekani yote (mijini na vijijini) wana maji ya bomba. Hata hivyo baadhi ya mambomba yaliyowekwa zamani sana yameshakuwa na kutu na kusababisha maji yawe machafu. Kamala anachosema ni ubadilishaji wa mabomba hayo ya zamani na kuweka mapya. Siyo kama Tanzania ambako hakuna bomba kabisa.
Naona umechanganyikiwa kabisa na huelewi kitu chochote kile. Kwa sasa Tanzania hali ya upatikanaji wa maji ni nzuri sana na ya kuridhisha.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kila siku huwa ninawaambia na kuwaelekeza mambo mengi sana juu ya changamoto katika uongozi.huwa ninawaambia kuwa changamoto huwa hazikosekani.

lakini kikubwa kinachopaswa kuangaliwa na dhamira ,nia na hatua zinazochukuliwa katika kutatua na kumaliza changamoto na kero husika kama ambavyo imekuwa ikifanya serikali ya CCM chini ya uongozi wa Rais Samia.

Hivi unaweza kufikiria kuwa Marekani iliyopata uhuru wake mwaka 1776 bado inahangaika na kutoa ahadi ya upatikanaji wa maji safi na salama ya kunywa? Unaweza amani hilo? Sasa kama Marekani bado inahangaika na kero hizo ,sisi ni nani mpaka tuanze kumlaumu Rais wetu Mpendwa na CCM wakati tunaona juhudi kubwa anazofanya katika kumaliza changamoto hizo

Kwa kujenga miradi mbalimbali ya maji,kuchimba visima virefu ,kuvuta maji kutoka maeneo ya mbali mpaka kufikisha waliko wananchi pamoja na kuongeza bajeti ya Maji kila mwaka.

Sasa Embu soma hapa Mwenyewe uangalie alichoandika na kusema Kamala HarrisView attachment 3105738

Kwa kuwasaidia wale wasioelewa lugha hiyo ya kizungu ni kuwa.Amemaanisha kwamba Wamarekani wanatakiwa kupata au kuwa na Maji safi na salama ya kunywa.Ndio sababu Joe Biden na Mimi Tumefanya uwekezaji wa kihistoria katika kuboresha miundombinu ya maji na kupanua upatikanaji wa maji safi.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tuliza mshono nchi inawenyewe wamejituliza huko mm na wewe ndio tunawashwawashwa kujipendekeza.... utaomba moderator afute mneno yako while wenye nchi wameamua. Tulia
 
Back
Top Bottom