Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zaidi ya kuzungumzia madhara ya kiuchumi ya COVID 19, na kutoa ushauri wake wa nini kifanyike ili kupambana na kuenea kwa Corona, kipi ambacho unataka kijadiliwe, au ametaja mapungufu gani?.Mbowe ameeleza vizuri sana, sijui mnapata wapi ujasiri wa kuchekelea juhudi za Kenya, mskilizeni huyu mtajifunza kitu.
158, 6 deaths
24, 1death
Hivi mnapata wapi nguvu za kuzungumza?, kweli vichwa vyenu vimejaa MAJI. Kama Tanzania hakuna tunalofanya lakini maambukizi ni 24, je mwenye 158 na vifo 6 anafanya nini?. Wakenya waneshaanza kutoroka na kuja kujificha Tanzania kwa kuogopa Corona.
Sent using Jamii Forums mobile app
I said this in one of his many threads.sasa ukitest watu 300 only ..what do you expect??
Here the govt getting all those with recent contact and testing.
Even if there are more deaths how would you know???
Kwahiyo hao wagonjwa ambao hatujawapima hawafiki Hospitalini, kwanini hospitali zetu hazijai wagpnjwa?, kwanini vifo visiripotiwe vinatokea mitaani au vijijini, au hata hayo yote pia yanatokea lakini hatuyagundui?.sasa ukitest watu 300 only ..what do you expect??
Here the govt getting all those with recent contact and testing.
Even if there are more deaths how would you know???
Only stupid Nation like Kenya does those useless tests, listen to this Tanzanian doctor who works in UK, unfortunately got infected, tells you that in UK they don't test, just they use symptoms to diagnose Covid- 19.I said this in one of his many threads.
Only stupid Nation like Kenya does those useless tests, listen to this Tanzanian doctor who works in UK, unfortunately got infected, tells you that in UK they don't test, just they use symptoms to diagnose Covid- 19.
You Kenyans are super stupid.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mabeberu hao, au leo umeamua kuwakumbatia kw mara nyngineOnly stupid Nation like Kenya does those useless tests, listen to this Tanzanian doctor who works in UK, unfortunately got infected, tells you that in UK they don't test, just they use symptoms to diagnose Covid- 19.
You Kenyans are super stupid.
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa ukitest watu 300 only ..what do you expect??
Here the govt getting all those with recent contact and testing.
Even if there are more deaths how would you know???
Ah ah we mwehu utakua umeajiliwa hapa Tanzania kama mwalimu was chekechea......You hate how much you love us....swali muhimu ni kua wakenya mmekurupuka mnajiweka quarantine wakati hata elan ya kula hamna....na mnachoshindwa elewa ni kua labda huu ugonjwa umeletwa na Hawa mataifa ya kigeni kuruhusu haya machanjo yao yasiyoeleweka na msipokua makini baada ya Congo wakenya ndo mtafuta wananchi wenu wawe guinea pig wakufanyiwa majaribio... kudo's mmagufuriHawa watatusababishia matatizo sana kwa uzembe wao, juzi tumeona taarifa jinsi watu wao wanatka Tanga na kupeleka kirusi Zanzibar.
Jana jinsi wasafiri wanashukia Dar bila karantini, hadi kunaye ameishi na kirusi Dar siku sita kisha akasafri hadi Mwanza siku kadhaa ndio wanakuja kumshtukia, kote huko ameambukiza halafu Mwanza ni karibu na Kenya, kuna watu wetu wanangiliana huko, yaani Watanzania wazembe na maskini balaa.
Hebu ona hizi taarifa Mamlaka za Tanzania haziko seriously kupambana na Corona, inakuwaje mgonjwa anatua JNIA anakwenda mwanza na hakuwekwa karantini? - JamiiForums
Zaidi ya kuzungumzia madhara ya kiuchumi ya COVID 19, na kutoa ushauri wake wa nini kifanyike ili kupambana na kuenea kwa Corona, kipi ambacho unataka kijadiliwe, au ametaja mapungufu gani?.
Hatusemi kwamba Tanzania hatuna mapungufu, lakini katika eneo hili, sisi ni nchi ya mfano, na tunayofanya mitaani yanaonekana na pia "statistics" zinathibitisha hivyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
158, 6 deaths
24, 1death
Hivi mnapata wapi nguvu za kuzungumza?, kweli vichwa vyenu vimejaa MAJI. Kama Tanzania hakuna tunalofanya lakini maambukizi ni 24, je mwenye 158 na vifo 6 anafanya nini?. Wakenya waneshaanza kutoroka na kuja kujificha Tanzania kwa kuogopa Corona.
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa ukitest watu 300 only ..what do you expect??
Here the govt getting all those with recent contact and testing.
Even if there are more deaths how would you know???
Kwani Kenya mmepima watu milioni ngapi ?! Una uhakika hao 156 ndio wagonjwa pekee? Huu ugonjwa haufichiki upime usipime kama watu wanaumwa watajitokeza tu. Italy sasa hivi wanahisi wanaumwa wengi kuliko data zao za vipimosasa ukitest watu 300 only ..what do you expect??
Here the govt getting all those with recent contact and testing.
Even if there are more deaths how would you know???
Wamepima wengi wangapi out of 40m ?Haya Wagonjwa sababu tumepima watu Wachache ninyi mmepima wengi na vifo je au ninyi munavipimo vingi sisi hatuna ?.kwanz munajitapa muna vipimo vingi wakat wote tuna vipimo vya jack Ma tulivyopewa cku moja .
Sent using Jamii Forums mobile app