Watanzania mnaokesha humu mkichekelea Wakenya kwa Corona, msklizeni huyu kiongozi wenu

Sasa haushangai tumepima watu Mia 300 wagonjwa ni 24.
Lakini nyie kila mkigusa IMOOO.
sasa ukitest watu 300 only ..what do you expect??
Here the govt getting all those with recent contact and testing.

Even if there are more deaths how would you know???

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
Mbowe ni poyoyo mr zero kuhani wa kuasi siwezi kumsikiliza mm
 
Hatua zilizochukuliwa za kufunga mashule na kuweka wanaotoka nchi zilizoathirika karantini na level siti ktk mabasi kuondoa maongamano huoni ni hatua?

kama unataka lockdown ili utafute point za kisiasa imekula kwako mkuu. Ground your own family...
Mkuu, kweli mpo vizuri!!!
 
Kabla ya kuhangaika na kwa jirani anafanya nini , pambaneni na hali yenu. Polisi ni tishio huko kwenu zaidi hata ya corona.


 
Mkuu sio kweli unalosema, tatizo ni kwamba lazima uwe unajua lengo la kufanya hivyo vipimo.
1) Kama unataka kujua ni watu wangapi nchini mwako wameambukizwa ugonjwa, haina maana yoyote ya kutafuta "denominator", ndio sababu unasikia idadi zinazotangazwa na WHO za maambukizi duniani kote, kamwe hawataji idadi ya watu waliopimwa, wanataja wenye maambukizi na vifo.

2)Kulinganisha watu waliopatikana na ugonjwa " numerator " kwa watu waliopimwa " denominator", ni muhimu tu kama unataka kujua ni kwakiasi gani huo ugonjwa umepenya katika nchi husika, kwa ajili ya matumizi ya kiofisi na kiserikali kupanga bajeti zao na mipango yao. Hii haijalishi umepima watu wengi kiasi gani, unaweza kuchukua "sample size" yoyote na ikakuonyesha ni kiasi gani ugonjwa umepenya nchini mwako.

3) Sasa hivi katika janga kubwa kama hili, muhimu ni kuzuia maambukizi yasisambae zaidi, na kupunguza vifo na athari za kiuchumi na kijamii zinazosababishwa na Corona, hakuna faida yoyote ya kujua umepima wangapi, muhimu ni kujua walioambukizwa ni wangapi na nini kifanyike ili wengine wasiambukizwe zaidi. Nchi zote duniani zinaweka mkazo katika kutumia dalili badala ya kupima.

4) Hakuna nchi hata moja yenye vituo vya kupima Corona kila sehemu, kama nilivyosema na kumsikiliza hiyo Daktari mtanzania aliyeko UK, nchi za Ulaya hazipimi wagonjwa wa Corona, kwahiyo hawana sababu yoyote ya kujenga maabara kila sehemu. Unahitaji maabara chache sana, ila unahitaji mipango na mikakati ya kuzuia na kutibu wagonjwa.

5)Hao wakenya wasikudanganye, wanazo maabara mbili tu, tens zote zipo Nairobi, tatizo lao kubwa hawajui nini wanapaswa kufanya, ndio sababu hata Nzige wamewashindwa kuwadhibiti, usitegemee lolote wataweza kudhibiti Corona, hao ni mdomo tu, hawana lolote.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mabeberu hao, au leo umeamua kuwakumbatia kw mara nyngine

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao ndio mtaelewa kwasababu mnawaheshimu sana wazungu. Nikirudi hapa Africa mashariki, hakuna nchi yoyote ila inayofanya " mass testing" zaidi yenu, nchi zote ikiwemu Rwanda yenye wagonjwa wengi kama Kenya, bado hawafanyi " mass testing " badala yake nchi wanapima kama Tanzania na wanafanikiwa kuwagundua wenye virusi. Ni ninyi pekee kwa ujinga wenu mnafanya mambo bila kutumia akili, ndio sababu idadi ya wagonjwa na vifo vinaongezeka kwa kasi sana,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaaa!!kweli mabeberu mnawapenda lakini mnaona aibu kuliqeka hadaharani[emoji1787][emoji1787]
Mpka unawatumia wao km kigezo cha kujitetea, usijali misaada mtapata tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…