Watanzania mnaonaje utendaji wa DP World?

Watanzania mnaonaje utendaji wa DP World?

Watanzania hususa ni watumiaji wa bandari ya Dar es Salaam hamjambo? Mmeanza kuona faida za uwepo wa DP World sio?

Watumiaji wa kawaida wa bidhaa zinazoingizwa nchini vipi si mnaona wenyewe bei zilivyoshuka?

By Boss la DP World aka boss la makobazi.
Better but ongezeni Kasi ya ugomboaji na punguzeni kubambika charges hata kwa mizigo iliyogombolewa on time

Otherwise mko vizuri
 
Watanzania hususa ni watumiaji wa bandari ya Dar es Salaam hamjambo? Mmeanza kuona faida za uwepo wa DP World sio?

Watumiaji wa kawaida wa bidhaa zinazoingizwa nchini vipi si mnaona wenyewe bei zilivyoshuka?

By Boss la DP World aka boss la makobazi.
kazi mnapeana kindugu boss. Rudini kwenu mkafanye kilimo cha tende.
 
Watanzania hususa ni watumiaji wa bandari ya Dar es Salaam hamjambo? Mmeanza kuona faida za uwepo wa DP World sio?

Watumiaji wa kawaida wa bidhaa zinazoingizwa nchini vipi si mnaona wenyewe bei zilivyoshuka?

By Boss la DP World aka boss la makobazi.
Mabadiliko niliyoyaona kwa kweli mizigo kutoka haraka ni kweli na ndiyo maana ikifika Ijumaa na jumamosi njia ya bandarini jioni haifai kupita kwa swatu wa kigamboni.Malori yanakuwa mengi mno jioni kupakia mizigo. Na jumatatu asubuhi pia kuingia geti la Bandarini unakuta malori mengi. Napongeza kwa sasa utoaji wa mizigo kweli umeongezeka muda umekuwa ni mdogo. Ushauri kwa Serikali ile bandari kavu Vigwaza wangeanza nayo kupeleka mizigo ya mikoani na ya nchi jirani kwa kutumia treni ili kupunguza msongamano wa malori mjini hasa kwa wenzetu wanaoishi kigamboni,Kurasini,Temeke,Tandika na Mbagala au lile balaa la Buguruni mpaka Kibaha.
 
Mabadiliko niliyoyaona kwa kweli mizigo kutoka haraka ni kweli na ndiyo maana ikifika Ijumaa na jumamosi njia ya bandarini jioni haifai kupita kwa swatu wa kigamboni.Malori yanakuwa mengi mno jioni kupakia mizigo. Na jumatatu asubuhi pia kuingia geti la Bandarini unakuta malori mengi. Napongeza kwa sasa utoaji wa mizigo kweli umeongezeka muda umekuwa ni mdogo. Ushauri kwa Serikali ile bandari kavu Vigwaza wangeanza nayo kupeleka mizigo ya mikoani na ya nchi jirani kwa kutumia treni ili kupunguza msongamano wa malori mjini hasa kwa wenzetu wanaoishi kigamboni,Kurasini,Temeke,Tandika na Mbagala au lile balaa la Buguruni mpaka Kibaha.
Vipi kuhusu gharama za huduma?
 
Mabadiliko niliyoyaona kwa kweli mizigo kutoka haraka ni kweli na ndiyo maana ikifika Ijumaa na jumamosi njia ya bandarini jioni haifai kupita kwa swatu wa kigamboni.Malori yanakuwa mengi mno jioni kupakia mizigo. Na jumatatu asubuhi pia kuingia geti la Bandarini unakuta malori mengi. Napongeza kwa sasa utoaji wa mizigo kweli umeongezeka muda umekuwa ni mdogo. Ushauri kwa Serikali ile bandari kavu Vigwaza wangeanza nayo kupeleka mizigo ya mikoani na ya nchi jirani kwa kutumia treni ili kupunguza msongamano wa malori mjini hasa kwa wenzetu wanaoishi kigamboni,Kurasini,Temeke,Tandika na Mbagala au lile balaa la Buguruni mpaka Kibaha.
Wamekusikia
 
Back
Top Bottom