muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Huyo Mke wa mwarabu.Unashukuru wewe kama nani?
Nyau ww
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Mke wa mwarabu.Unashukuru wewe kama nani?
Nyau ww
Nyau weweMimi kama mimi
Kenge mweusi wewe.Nyau wewe
SawaWako vizuri sana.
Muda utaongea lo tuko bize na masndalizi ya elekshiooo 25
Watanzania hususa ni watumiaji wa bandari ya Dar es Salaam hamjambo? Mmeanza kuona faida za uwepo wa DP World sio?
Watumiaji wa kawaida wa bidhaa zinazoingizwa nchini vipi si mnaona wenyewe bei zilivyoshuka?
By Boss la DP World aka boss la makobazi.
Uchawa kazi sana aiseeHata bei ya mafuta imeshuka kwa kiwango kikubwa kwa mara ya kwanza, ni faida kwa Watanzania wote.
Nahisi atakuja kujibu hii.Bosi la bosi hahaha
Vipi maslahi Kwa wafanyakazi wenu?
Kwanini mkuu!?!Ondokeni
Dah!Naona wanampaisha mhuni, watu wanajieleza kama kweli ni DP kumbe ni mhuni yupo pemba anakula halua na tende anasubiri usiku uingie ale wali maharage alale amevimbiwa akajambe usingizini na mke wke