Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Lete cv yako uwe kuli mwandamizi.Ondokeni
Njoo NIKUINGIZE kwenye mfumo.Sisi tunakuona tu kwenye Yatch ya pdidy hapo bandarini
Better but ongezeni Kasi ya ugomboaji na punguzeni kubambika charges hata kwa mizigo iliyogombolewa on timeWatanzania hususa ni watumiaji wa bandari ya Dar es Salaam hamjambo? Mmeanza kuona faida za uwepo wa DP World sio?
Watumiaji wa kawaida wa bidhaa zinazoingizwa nchini vipi si mnaona wenyewe bei zilivyoshuka?
By Boss la DP World aka boss la makobazi.
Asante bossBetter but ongezeni Kasi ya ugomboaji na punguzeni kubambika charges hata kwa mizigo iliyogombolewa on time
Otherwise mko vizuri
Umeshaingizwa wewe tayar inatoshaNjoo NIKUINGIZE kwenye mfumo.
kazi mnapeana kindugu boss. Rudini kwenu mkafanye kilimo cha tende.Watanzania hususa ni watumiaji wa bandari ya Dar es Salaam hamjambo? Mmeanza kuona faida za uwepo wa DP World sio?
Watumiaji wa kawaida wa bidhaa zinazoingizwa nchini vipi si mnaona wenyewe bei zilivyoshuka?
By Boss la DP World aka boss la makobazi.
zimeshuka kutoka sh. ngapi hadi ngapi?Watanzania hususa ni watumiaji wa bandari ya Dar es Salaam hamjambo? Mmeanza kuona faida za uwepo wa DP World sio?
Watumiaji wa kawaida wa bidhaa zinazoingizwa nchini vipi si mnaona wenyewe bei zilivyoshuka?
By Boss la DP World aka boss la makobazi.
Mabadiliko niliyoyaona kwa kweli mizigo kutoka haraka ni kweli na ndiyo maana ikifika Ijumaa na jumamosi njia ya bandarini jioni haifai kupita kwa swatu wa kigamboni.Malori yanakuwa mengi mno jioni kupakia mizigo. Na jumatatu asubuhi pia kuingia geti la Bandarini unakuta malori mengi. Napongeza kwa sasa utoaji wa mizigo kweli umeongezeka muda umekuwa ni mdogo. Ushauri kwa Serikali ile bandari kavu Vigwaza wangeanza nayo kupeleka mizigo ya mikoani na ya nchi jirani kwa kutumia treni ili kupunguza msongamano wa malori mjini hasa kwa wenzetu wanaoishi kigamboni,Kurasini,Temeke,Tandika na Mbagala au lile balaa la Buguruni mpaka Kibaha.Watanzania hususa ni watumiaji wa bandari ya Dar es Salaam hamjambo? Mmeanza kuona faida za uwepo wa DP World sio?
Watumiaji wa kawaida wa bidhaa zinazoingizwa nchini vipi si mnaona wenyewe bei zilivyoshuka?
By Boss la DP World aka boss la makobazi.
Vipi kuhusu gharama za huduma?Mabadiliko niliyoyaona kwa kweli mizigo kutoka haraka ni kweli na ndiyo maana ikifika Ijumaa na jumamosi njia ya bandarini jioni haifai kupita kwa swatu wa kigamboni.Malori yanakuwa mengi mno jioni kupakia mizigo. Na jumatatu asubuhi pia kuingia geti la Bandarini unakuta malori mengi. Napongeza kwa sasa utoaji wa mizigo kweli umeongezeka muda umekuwa ni mdogo. Ushauri kwa Serikali ile bandari kavu Vigwaza wangeanza nayo kupeleka mizigo ya mikoani na ya nchi jirani kwa kutumia treni ili kupunguza msongamano wa malori mjini hasa kwa wenzetu wanaoishi kigamboni,Kurasini,Temeke,Tandika na Mbagala au lile balaa la Buguruni mpaka Kibaha.
AiseeNaona wanampaisha mhuni, watu wanajieleza kama kweli ni DP kumbe ni mhuni yupo pemba anakula halua na tende anasubiri usiku uingie ale wali maharage alale amevimbiwa akajambe usingizini na mke wke
Mimi kama mimiUnashukuru wewe kama nani?
Nyau ww
WamekusikiaMabadiliko niliyoyaona kwa kweli mizigo kutoka haraka ni kweli na ndiyo maana ikifika Ijumaa na jumamosi njia ya bandarini jioni haifai kupita kwa swatu wa kigamboni.Malori yanakuwa mengi mno jioni kupakia mizigo. Na jumatatu asubuhi pia kuingia geti la Bandarini unakuta malori mengi. Napongeza kwa sasa utoaji wa mizigo kweli umeongezeka muda umekuwa ni mdogo. Ushauri kwa Serikali ile bandari kavu Vigwaza wangeanza nayo kupeleka mizigo ya mikoani na ya nchi jirani kwa kutumia treni ili kupunguza msongamano wa malori mjini hasa kwa wenzetu wanaoishi kigamboni,Kurasini,Temeke,Tandika na Mbagala au lile balaa la Buguruni mpaka Kibaha.