Watanzania mnaonaje utendaji wa DP World?


Hata bei ya mafuta imeshuka kwa kiwango kikubwa kwa mara ya kwanza, ni faida kwa Watanzania wote.
 
Hata bei ya mafuta imeshuka kwa kiwango kikubwa kwa mara ya kwanza, ni faida kwa Watanzania wote.
Uchawa kazi sana aisee
Unasema bei imeshuka kwa mara ya Kwanza wakati 2020 hapo tulikuwa tunanunua kwa 2100 kwa lita?
 
Bosi la bosi hahaha
Vipi maslahi Kwa wafanyakazi wenu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…