Watanzania mnatapeli hadi hela za msiba wa watoto waliopoteza maisha kwa ajali

Wamekura hahahahhahahha hata rambirambi du ..
 
Una haki ya kuuliza lakini mbona habari ipo kwenye Jukwaa la Kenya, kwani inahusu Kenya hii, au ndio yale mambo yenu ya battle kati ya Tanzania na Kenya? Ungeiweka kwenye jukwaa la Habari Mchanganyiko ingependeza zaidi...

Ipo kwa Wakenya ili kuwaonyesha jinsi mlivyo majizi yasiokuwa na huruma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…