Nimejenga hapo karibu na la stanza,Goba ni manzese tu iliyochangamkaGoba unaijua kweli wewe au wewe ndo wale mnaenda kuzeekea kwenye mabanda ya mbao kwa Biden. Mwambie Biden kwetu yale ni mabanda ya kuku
Mkishagongewa wake zenu na diaspora mnaleta chuki zetu hapa JFTulia dawa iingie ukipiga kelele hivi itapungua nguvu. Mmarekani hanambii kitu yule ni mchumba tu nenda kamfanyie kazi utuachie Tanzania itupe neema za dunia
Ila siwezi kuishi Goba bora nikaishi Kange Tanga mji umepangikaLakini si unamiliki jengo?
Mwamposa ndio nani?Njoo upande alikojenga Mwamposa
,π€£π€£π€£π€£π€£ Tapeli wewe , umejichimbia bia kijijini kwenu hapo Ushirombo ,unatupiga sound za kindezi hapaTulia dawa iingie ukipiga kelele hivi itapungua nguvu. Mmarekani hanambii kitu yule ni mchumba tu nenda kamfanyie kazi utuachie Tanzania itupe neema za dunia
Wewe ni mwehu , yaani sehemu ya ovyo, watu mnajenga mabanda kwenye Makorongo mule kuishi kama ngedere Goba nayo ndio sehemu ya kujivunia ile ?Goba unaijua kweli wewe au wewe ndo wale mnaenda kuzeekea kwenye mabanda ya mbao kwa Biden. Mwambie Biden kwetu yale ni mabanda ya kuku
πππππππwanasikia raha kushangaashangaa magorofa ya city centre na kupiga picha jioni wanakwenda kujilaza kwenye banda za mbaoGoba unaijua kweli wewe au wewe ndo wale mnaenda kuzeekea kwenye mabanda ya mbao kwa Biden. Mwambie Biden kwetu yale ni mabanda ya kuku
Walah nakuapia sitowahi kuitukana nchi yangu Tanzania utamu wa hii nchi aujuwaye mchina, ninyi mmejisahau sana sijui mmelogewa wapiWewe ni mwehu , yaani sehemu ya ovyo, watu mnajenga mabanda kwenye Makorongo mule kuishi kama ngedere Goba nayo ndio sehemu ya kujivunia ile ?
Miaka 7 nikimfanyia yule mchumba kazi. Biden na mwenzake Trup wakitafuna hela yangu taratibu. Wale ni wachumba, lile Taifa lao wote walaini laini wachumba tu wale wala wasiwachanganyeHivi uliishi USA miaka mingapi?
Nilimshirikisha mama yangu mafanikio yangu nikadhani amefurahi, baada ya muda kila nikiwasiliana naye ananiambia isijekuwa naenda kwa waganga
Mimi nikijana wa miaka 27 nilishinda betting kiasi kikubwa tu cha pesa lakini sikuwahi kumweleza mwanafamilia yeyote na wala hakuna anayefahamu, nikaamua kujenga nyumba kupitia zile pesa za betting kwahiyo nikawa na nyumba ya ghafla Sikutaka kumshirikisha ndugu au mwanafamilia kwa haraka...www.jamiiforums.com
Pale mtu akianza ujenzi wake utaona kitu kama hikiπππππππwanasikia raha kushangaashangaa magorofa ya city centre na kupiga picha jioni wanakwenda kujilaza kwenye banda za mbao
Hivi mzee upekosa kazi ya kufanya yaani unaandika kabisa thread ya kuiponda USA aisee hii Kali yaani tanzania nzima inanuka Mavi ndio ufananishe na USA π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Pale mtu akianza ujenzi wake utaona kitu kama hiki
Huku kwetu Africa sisi haya ni mabanda ya kuku
View attachment 3038051View attachment 3038052