Watanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani. Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota

Watanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani. Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota

Mm nimewahi kufika Marekani ktk bandari za Houston (TX),New Orleans (Louisiana),Mobile (Alabama) na Miami (FL).
Makuli tu wa bandari ambao wanakuja melini kufanya container lashing wengi wao wapo vizuri kiuchumi,
Makuli waliochoka wengi nimewaona Mobile (Alabama),nadhani wamechoka kwa sababu wengi wao ni masela kwa sana!
 
Ushoga na Usagaji unalindwa sana USA kwasababu wale watu wanaishi maisha magumu na Matajiri wengi USA wanakojolea wengi mpaka jinsia zao kwasababu ya umaskini
Hapa bongo na usagaji hupo high sana mwaka 2016 nilipata kazi ya research flan aisee ushoga mwingi mno hapo kinondoni inaongoza Kwa DSM hapo sasa unaenda mbali kusema USA unasahau nyumbani alafu ni mambo person haya na malezi ya watoto
 
Ndugu yangu dola $1000 usd pale haitoshi, nimepata maendeleo makubwa sana baada ya kurudi Tanzania ningebaki kule hata meter ya umeme nisingekuwa nayo
Kumiliki meter ya maji au umeme inakusaidia nini? Ili hali hauna hata ada ya watoto wako au mlo tu mmoja unakupiga chenga.
 
Watanzania msibabaishwe na maisha ya Marekani, Wamarekani wengi ni choka mbaya, hawana uwezo wa kumiliki nyumba kama ninyi, wanaishi kwenye kota za kupanga tangu utoto wao mpaka uzee.

Inawezekana mnatazama maisha yao kwenye Tv na mwisho mnapagawa na kudhani kuwa wale watu ni matajiri lakini ukweli ni kwamba wanaishi kota za kupanga na kumiliki nyumba Marekani sio jambo rahisi angalao uwe na 1B mimi nimeishi kule kwa muda mrefu maisha yao ni ya show off kama za watu wa Kinondoni kula Bata vinywaji kidogo na picha nyingi mfukono 0 Balance huku vitu kama hivyo vikipatikana hapo Mlimani City na kwingineko huko Masaki.

Kijana wa Marekani ni mtu wa show off nyingi lakini anaishi chumba cha kupanga ambacho hata kitanda cha 6x6 hakiingii.

Kinachowasaidia kuonekana ni watu wa maana ni uhuni hasa upande wa mablack kupiga pamba kali, sagging na kuongea kwa kihuni lakini ukweli ni apeche alolo na wabongo wanaoishi kule wambie wakutumie hata $500usd kama watatuma niite mbwa. Kule fanya ni sehemu ya kwenda kula bata tu, fanya maendeleo hapa Bongo kule nenda katalii lakini kufanya maisha nikupoteza muda.

Mmarekani anazaliwa mpaka anazeeka hajawahi kumiliki meter ya maji na umeme yenye jina lake yaani ni sawa na mfungwa.

Wabongo wengi ambao mmetulia hapa mna maisha mazuri na mnamiliki mijengo ya maana sio kama wale wachovu ambao wanawachanganya kwa show off mpaka mnataka kuacha nchi yenu mkaishi na wahuni wa show off.

Mbongo unaacha nchi yako unaenda kuteseka kule kama sio mwehu ni nini. Vyumba kama hivi mmevikosa hapa Bongo au mnawehuka?

Nabado vihela mnavyopata kule vinaishia kwenye matumizi hazitoshi hata kufanya savings.

View attachment 3035626View attachment 3035627

Baadhi ya Watanzania wangu bado hawanelewi nimeona ni attach hii video ya bro labda itawafungua macho

View: https://youtu.be/UDIpQ1XWcRg?si=B7PvJdMy-8eipUC7

Hivi watz wote apo na nyumba zao au wamepanga
 
Hata Ulaya. Izi nchi ni majengo tu na miundombinu ila most ni mshahara wote kodi, rent na matumizi yote inaisha na kununua au kujenga nyumba kwa asilimia 80% ni ndoto kama kwenda Mars
 
Yaani ulinganishe ugumu wa maisha Tz na States , utakuwa taahira wa karne
 
Back
Top Bottom