Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Usiwe unanitumia video za propaganda!Tumia wajinga wenzako ambao hawajua political science.Hakuna kiongozi ambae alitengeneza miradi mingi na imara ndani ya muda mfupi katika historia kuliko Hitler.
Nani asikilize mazombie ya Jiwe?pumbafu yaani mim nianze kukusikiliza ww mpiga zumari wa jiwe?Haya sikiliza majibu ya Feasibility Study ambayo CAG alipotosha watz. Hivyo hiyo Audit Query yake imeshafugwa tayari haina mashiko.
View attachment 1750708
Kama aliyetoa hiyo report ni mteule wa rais na ana haki zote na ni mbobevu wa hiyo shughuli sisi watanzania ni kina nani hadi tumpinge?Huu ni utaratibu wa kawaida katika kufanya ukaguzi wa matumizi, au taratibu za ujenzi. Kwamba mkaguzi ataibua hoja ya kuwa na wasiwasi juu ya anachokagua pale panapotokea kuwa hakuna vielelezo vya kile anachohoji ili kuthibitisha. Hivyo baada ya kuibua hoja hizo majibu ya uhakika huwa yanahitajika...
Wewe ni nani mbele ya watanzania?Who is he?
Wezi wanatafuta pa kujifichia aibu zaoJe, wewe ni Kigwa?
Umamaliza kaziMajibu ya 1.5 alitoa nani
Yanahangaika sanaYaani tukubali kupotoshwa na wew lizombie tumpuze CAG? Misukule ya Jiwe mnapata tabu sana
Tulia wewe sisi watanzania tuna imani kubwa sana na CAG hivyo report yake tunaiamini sana na usidhani kama utabadilisha mtazamo wetu juu ya ufisadi uliofanyika.Mkuu huna imani nao?
Tuna imani na report ya CAG maana ni mteule wa rais.Kukosa kwako akili isiwe sababu ya kukataa ukweli.
Matusi yangekuwa hoja ungekuwa mbali sanaPumbavu huna akili kaa kimya.
Hasira zitakufanya upate ugonjwa wa kifafaNyie ndio huwa mnaolewa na wanaume wenzenu, maana unaon sifa na kuwa na mwanaume mwenzako Serena.
Hii ni awamu ya 6 kwa mujibu wa mama yetu kipenzi cha watanzania mh Samia.Huyo mrembo wa TTB akija kubainika hana kosa? Kusimamishwa kazi sio kuwa amehusika.
Sijatetea uozo, wala kushabulia mtu. Ukweli ni kuwa Assad aseme ukweli juu ya tril 1.5, tujue kama PAC walitudanganya.
Lakini ukweli ni kuwa majibunya CAG hujibiwa na PAC au LAAC. Kama huwa wanafanya uhuni basi sasa hapo ni mengineyo.
Kwiiishaaaaa hiyooooooooooooo subirini hadi 2025Hati chafu ni audit query?
Atcl imetutafunia 150b ni aibu kubwa sana kwa tanzania kuwahi kutokeaAhaaa, mbona unakomaa kuhusu Atcl? Subiri majibu.
kabla ya auditor hajaandaa ripoti ya mwisho huwa anawapa management team queries alizozibaini ili apewe majibu, management isipotoa majibu ya kuridhisha ndipo auditor hutoa ripoti yake ya mwisho na ndicho CAG alichofanya, hayo majibu yako ni ya wapi tena ? walishashindwa kutoa majibu ndio maana CAG katoa ripoti yake kama ilivyo.Huu ni utaratibu wa kawaida katika kufanya ukaguzi wa matumizi, au taratibu za ujenzi. Kwamba mkaguzi ataibua hoja ya kuwa na wasiwasi juu ya anachokagua pale panapotokea kuwa hakuna vielelezo vya kile anachohoji ili kuthibitisha. Hivyo baada ya kuibua hoja hizo majibu ya uhakika huwa yanahitajika...
Kaa kimya.Wewe ni nani mbele ya watanzania?
Mleta mada naomba nitofautiane na wewe kidogoHuu ni utaratibu wa kawaida katika kufanya ukaguzi wa matumizi, au taratibu za ujenzi. Kwamba mkaguzi ataibua hoja ya kuwa na wasiwasi juu ya anachokagua pale panapotokea kuwa hakuna vielelezo vya kile anachohoji ili kuthibitisha. Hivyo baada ya kuibua hoja hizo majibu ya uhakika huwa yanahitajika...
Acheni utetezi wa kifala.Huu ni utaratibu wa kawaida katika kufanya ukaguzi wa matumizi, au taratibu za ujenzi. Kwamba mkaguzi ataibua hoja ya kuwa na wasiwasi juu ya anachokagua pale panapotokea kuwa hakuna vielelezo vya kile anachohoji ili kuthibitisha. Hivyo baada ya kuibua hoja hizo majibu ya uhakika huwa yanahitajika..
Ass! Utamkumbuka sana Hayati Magufuli alikunyoosha kwelikweli mpaka unaingia kaburini utakuwa unamkumbuka tuuu!! Chezea Rais Magufuli wewe!! Hacheki na wizi na wauza madawa ya kulevya na mbaya zaidi Rais Mama Samia naye amesema Kazi Inaendelea sasa sijui utakimbilia wapi!!Usiwe unanitumia video za propaganda!Tumia wajinga wenzako ambao hawajua political science.Hakuna kiongozi ambae alitengeneza miradi mingi na imara ndani ya muda mfupi katika historia kuliko Hitler.Miradi ambayo kwa uongozi wa leo wa Ujerumani itachukua miaka 30 kutengenezwa Hitler alitengeneza miradi hiyo kwa miaka mitatu tu, lakini leo hii katika historia ya dunia hakuna kiongozi ambae anaonekana wa ovyo,katili,hafai na ambae historia inamhukumu kama Hitler.Uongozi siyo kujenga miradi.
Lazima unyooke tu na Rais Mama Samia ameshasema Kazi Inaendelea sijui sasa utakimbilia wapi! Moto ni ule ule utawachoma sana tu.Nani asikilize mazombie ya Jiwe?pumbafu yaani mim nianze kukusikiliza ww mpiga zumari wa jiwe?