Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Usiwe unanitumia video za propaganda!Tumia wajinga wenzako ambao hawajua political science.Hakuna kiongozi ambae alitengeneza miradi mingi na imara ndani ya muda mfupi katika historia kuliko Hitler.
Miradi ambayo kwa uongozi wa leo wa Ujerumani itachukua miaka 30 kutengenezwa Hitler alitengeneza miradi hiyo kwa miaka mitatu tu, lakini leo hii katika historia ya dunia hakuna kiongozi ambae anaonekana wa ovyo, katili,hafai na ambae historia inamhukumu kama Hitler. Uongozi siyo kujenga miradi.