Kwahiyo wale wa hati chafu nao tuseme wameonewa flani hivi?
naposema 1.5T zilikuja kupata majibu, UNAWEZA UKATUWEKEA HAPA HAYO MAJIBU? Maana binafsi sikuwahi kuyasikia majibu halisi, ila akina Polepole kujaribu kutueleza mara Zanzibar, mara sijui nini!
HAYO MAJIBU KWANINI HUWA HAWAMPI CAG wakati wanaulizwa? Kwanini ripoti ikishatoka na mnahangaika kumjibu CAG?
Kwani hao wanaoulizwa hayo makitu, huwa hawapewi nafasi ya kueleza au kutoa uthibitisho wa wanayoyasema? Hivi waulizwaji si wanajua kuwa kuna time frame ya wao kutoa majibu na ukivuka wakati huo maelezo yako yanakuwa hayana maana?
NI SAWA NA HUKUMU ILYOTOLEWA MAHAKAMA I INA MUDA WA KUKATIWA RUFAA, MUDA UKIPITA YALIYOAMULIWA YANABAKI KUWA NI MAAMUZI SAHIHI.
HUWEZI SUBIRIWA FOREVER