National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
NMB vimeo sana, wana uwaki mwingi. Au sijui mie ndio nama balaa naoInawezekana kuna ukweli,jana nimekaa nikakuta msg ya NMB,kiasi Cha shilingi 99,475.26 kimetolewa kwenye account yako inayoishia 770 nikashtuka,nimewapigia nikaongea na huduma Kwa wateja majibu sijaelewa kabisa nimehisi tayari nimepigwa.
Kesho nitapita Tawi moja wakanipe majibu
Leo nawaibukia tawi moja hivi nikawasikilizeNMB vimeo sana, wana uwaki mwingi. Au sijui mie ndio nama balaa nao
Na shida za bank wanafanya kazi kwa mazoea sanaLeo nawaibukia tawi moja hivi nikawasikilize
Sasa mbona mm ninampango wa kuwakopa,, 😟😟😟NMB vimeo sana, wana uwaki mwingi. Au sijui mie ndio nama balaa nao
Bank zetu haziko serious sana na watejaNa shida za bank wanafanya kazi kwa mazoea sana
Unaweza kuwa na bahati nao mkuu, mie nina balaa nao sijawai furahia huduma zaoSasa mbona mm ninampango wa kuwakopa,, 😟😟😟
wana mazoeBank zetu haziko serious sana na wateja
Yuko sahihi...makato ya kila mwezi yamepabda mwishowe zitaishia kule😂Mmmh🧐
Sana.....Tz customer service ni sifuri kabisawana mazoe
alafu wanatudharau sana wateja maana wanahisi hatuna pa kukimbiliaSana.....Tz customer service ni sifuri kabisa
Ni changamoto kubwa sanaalafu wanatudharau sana wateja maana wanahisi hatuna pa kukimbilia
Mimi natumia Equity Bank.Yuko sahihi...makato ya kila mwezi yamepabda mwishowe zitaishia kule😂
Huenda NMB,CRDB, NBC labda ndo zina hizi shida.Mimi natumia Equity Bank.
Nakatwa wakati wa kutoa tu.
Nisipo toa sikatwi hata iwe 3 months
Ni kweli, Nina akaunti crdb nimeamua kuilinda tu kwa kuiwekea hela Ili wasinifungie, ni wanakata mnoHuenda NMB,CRDB, NBC labda ndo zina hizi shida.
Daah NMB walinikata 150,000 sina hamu nao kabisa, CRDB nao wale wale tuMimi natumia Equity Bank.
Nakatwa wakati wa kutoa tu.
Nisipo toa sikatwi hata iwe 3 months
Hamia Equity hutojuta 😎Daah NMB walinikata 150,000 sina hamu nao kabisa, CRDB nao wale wale tu