Watanzania msiweke pesa Benki

Watanzania msiweke pesa Benki

Inawezekana kuna ukweli,jana nimekaa nikakuta msg ya NMB,kiasi Cha shilingi 99,475.26 kimetolewa kwenye account yako inayoishia 770 nikashtuka,nimewapigia nikaongea na huduma Kwa wateja majibu sijaelewa kabisa nimehisi tayari nimepigwa.

Kesho nitapita Tawi moja wakanipe majibu
NMB vimeo sana, wana uwaki mwingi. Au sijui mie ndio nama balaa nao
 
Mimi ndiomaana sibakizig hela bank ikiingia ty nadroo yoteeee inabakia 5000 ya kulinda account
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Benki ninayotumia huwa chenji chenji zinazobaki za Mpesa, Airtel noney na Tigopesa huwa nazitupia humo, Mfano nina laki nne, nimefanya malipo ya laki tatu labda na ishirini iliyobaki badala ya kuiacha kwenye simu nikashawishika kuitumia bila utaratibu huwa naituma kwenye hiyo bank, makato yao mwisho wa mwezi utakuta elfu kumi na tano, elfu kumi n.k
 
Mimi natumia Equity Bank.
Nakatwa wakati wa kutoa tu.
Nisipo toa sikatwi hata iwe 3 months
Daah NMB walinikata 150,000 sina hamu nao kabisa, CRDB nao wale wale tu
 
Back
Top Bottom