Kuna baadhi ya teuzi au hata chaguzi ambazo hutaelewa kwanini zimekuwa hivyo kwani sio kila teuzi/chaguzi zinafanywa kwa matakwa ya binadamu!
Viongozi wakubwa waliopo ni mipango either kutoka Juu ama kutoka Chini. Yatosha tu kusema hapa kuwa tumwombe Mungu tupate viongozi wazuri wenye kuweka maslahi ya Taifa letu mbele.
Katibu mwenezi wa CCM atakayejulikana hivi punde hamtajua kwanini amewekwa yeye ila ndio hivyo, msihofu chochote.
Viongozi wakubwa waliopo ni mipango either kutoka Juu ama kutoka Chini. Yatosha tu kusema hapa kuwa tumwombe Mungu tupate viongozi wazuri wenye kuweka maslahi ya Taifa letu mbele.
Katibu mwenezi wa CCM atakayejulikana hivi punde hamtajua kwanini amewekwa yeye ila ndio hivyo, msihofu chochote.