Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 12,576
- 14,522
huenda kuwa..... eti mkuu Maxence Melo au ndo utasema neutral?Najua basi
Ni Ramli zetu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huenda kuwa..... eti mkuu Maxence Melo au ndo utasema neutral?Najua basi
Ni Ramli zetu tu
Kuna baadhi ya teuzi au hata chaguzi ambazo hutaelewa kwanini zimekuwa hivyo kwani sio kila teuzi/chaguzi zinafanywa kwa matakwa ya binadamu!
Viongozi wakubwa waliopo ni mipango either kutoka Juu ama kutoka Chini. Yatosha tu kusema hapa kuwa tumwombe Mungu tupate viongozi wazuri wenye kuweka maslahi ya Taifa letu mbele.
Katibu mwenezi wa CCM atakayejulikana hivi punde hamtajua kwanini amewekwa yeye ila ndio hivyo, msihofu chochote.
Kama kuna mtu anashqngaa ya ccm, inabidi apimwe kichwa! Huwezi, kushqngaa kichaa kutembea uchi, au mafia family kuua watu,Kuna baadhi ya teuzi au hata chaguzi ambazo hutaelewa kwanini zimekuwa hivyo kwani sio kila teuzi/chaguzi zinafanywa kwa matakwa ya binadamu!
Viongozi wakubwa waliopo ni mipango either kutoka Juu ama kutoka Chini. Yatosha tu kusema hapa kuwa tumwombe Mungu tupate viongozi wazuri wenye kuweka maslahi ya Taifa letu mbele.
Katibu mwenezi wa CCM atakayejulikana hivi punde hamtajua kwanini amewekwa yeye ila ndio hivyo, msihofu chochote.
Hawezi kuwa huyo, atatoka visiwaniMbona si tumeshajua ni STEVE NYERERE mzee wa misiba
Duuh! Huyo bila shaka ni G4NNdio minong'ono iliyopo Kwamba atateuliwa Katibu wa Itikadi na Uenezi kisha patakuwepo Uteuzi mwingine wa Msemaji wa CCM
Inadaiwa Msemaji wa CCM atakuwa ni Mwanahabari anayeijua Dunia Ili kumtofautisha na hawa wa Upinzani akina Mrema
Ngoja tuone muda unazidi kusogea 😂😂
Na kuwadi mwandamiziMbona si tumeshajua ni STEVE NYERERE mzee wa misiba
Mwenezi mpya si mwingine bali ni kijana mkereketwa na mfuasi anayejipambanua kuwa muaminifu kwa chama, Lucas Hebel Mwashambwa.Kuna baadhi ya teuzi au hata chaguzi ambazo hutaelewa kwanini zimekuwa hivyo kwani sio kila teuzi/chaguzi zinafanywa kwa matakwa ya binadamu!
Viongozi wakubwa waliopo ni mipango either kutoka Juu ama kutoka Chini. Yatosha tu kusema hapa kuwa tumwombe Mungu tupate viongozi wazuri wenye kuweka maslahi ya Taifa letu mbele.
Katibu mwenezi wa CCM atakayejulikana hivi punde hamtajua kwanini amewekwa yeye ila ndio hivyo, msihofu chochote.
Ni nani unayemwongelea. Kafulila? Huyu yuko smart sana; halafu mtu wa statistics. Akitoa hoja. lazima aambatanishe na statisticsNdio minong'ono iliyopo Kwamba atateuliwa Katibu wa Itikadi na Uenezi kisha patakuwepo Uteuzi mwingine wa Msemaji wa CCM
Inadaiwa Msemaji wa CCM atakuwa ni Mwanahabari anayeijua Dunia Ili kumtofautisha na hawa wa Upinzani akina Mrema
Ngoja tuone muda unazidi kusogea 😂😂
Mello hawezi kubali upuuzi huo ,ni mtu anayejitambua.Conflict of interest iwapo Mello akijiunga.
Ana ubaya gani?????Yaani Lengai Ole Sabaya ateuliwe halafu msiwe na hofu ya mustakabali wa taifa lenu? Una akili kweli wewe?