Watanzania mtashangaa Katibu Mwenezi CCM atakayeteuliwa leo, msihofu

Watanzania mtashangaa Katibu Mwenezi CCM atakayeteuliwa leo, msihofu

Kuna baadhi ya teuzi au hata chaguzi ambazo hutaelewa kwanini zimekuwa hivyo kwani sio kila teuzi/chaguzi zinafanywa kwa matakwa ya binadamu!

Viongozi wakubwa waliopo ni mipango either kutoka Juu ama kutoka Chini. Yatosha tu kusema hapa kuwa tumwombe Mungu tupate viongozi wazuri wenye kuweka maslahi ya Taifa letu mbele.

Katibu mwenezi wa CCM atakayejulikana hivi punde hamtajua kwanini amewekwa yeye ila ndio hivyo, msihofu chochote.


Kwamba wote sisi tunajali ccm? Hata wakiteua tofali lieneze ccm ni sawa.
 
Kuna baadhi ya teuzi au hata chaguzi ambazo hutaelewa kwanini zimekuwa hivyo kwani sio kila teuzi/chaguzi zinafanywa kwa matakwa ya binadamu!

Viongozi wakubwa waliopo ni mipango either kutoka Juu ama kutoka Chini. Yatosha tu kusema hapa kuwa tumwombe Mungu tupate viongozi wazuri wenye kuweka maslahi ya Taifa letu mbele.

Katibu mwenezi wa CCM atakayejulikana hivi punde hamtajua kwanini amewekwa yeye ila ndio hivyo, msihofu chochote.
Kama kuna mtu anashqngaa ya ccm, inabidi apimwe kichwa! Huwezi, kushqngaa kichaa kutembea uchi, au mafia family kuua watu,
 
Hatmaye member mwenzetu wa JF Lucas Mwashambwa ametuliwa kuwa mwenezi wa CCM. Hongera sana Lucas !!!
 
Ndio minong'ono iliyopo Kwamba atateuliwa Katibu wa Itikadi na Uenezi kisha patakuwepo Uteuzi mwingine wa Msemaji wa CCM

Inadaiwa Msemaji wa CCM atakuwa ni Mwanahabari anayeijua Dunia Ili kumtofautisha na hawa wa Upinzani akina Mrema

Ngoja tuone muda unazidi kusogea 😂😂
Duuh! Huyo bila shaka ni G4N
 
Kuna baadhi ya teuzi au hata chaguzi ambazo hutaelewa kwanini zimekuwa hivyo kwani sio kila teuzi/chaguzi zinafanywa kwa matakwa ya binadamu!

Viongozi wakubwa waliopo ni mipango either kutoka Juu ama kutoka Chini. Yatosha tu kusema hapa kuwa tumwombe Mungu tupate viongozi wazuri wenye kuweka maslahi ya Taifa letu mbele.

Katibu mwenezi wa CCM atakayejulikana hivi punde hamtajua kwanini amewekwa yeye ila ndio hivyo, msihofu chochote.
Mwenezi mpya si mwingine bali ni kijana mkereketwa na mfuasi anayejipambanua kuwa muaminifu kwa chama, Lucas Hebel Mwashambwa.
 
Ndio minong'ono iliyopo Kwamba atateuliwa Katibu wa Itikadi na Uenezi kisha patakuwepo Uteuzi mwingine wa Msemaji wa CCM

Inadaiwa Msemaji wa CCM atakuwa ni Mwanahabari anayeijua Dunia Ili kumtofautisha na hawa wa Upinzani akina Mrema

Ngoja tuone muda unazidi kusogea 😂😂
Ni nani unayemwongelea. Kafulila? Huyu yuko smart sana; halafu mtu wa statistics. Akitoa hoja. lazima aambatanishe na statistics
 
Conflict of interest iwapo Mello akijiunga.
 
Yaani Lengai Ole Sabaya ateuliwe halafu msiwe na hofu ya mustakabali wa taifa lenu? Una akili kweli wewe?
 
Back
Top Bottom