Sawa. Ila tunaangalia asili yao na kwa ukanda wanaopatikana. Pia miongoni mwa dola zilizotawala ukanda huo ni za Kiarabu ambazo pia zilishika hadi Ulaya ya kusini. Uturuki ni nchi pekee iliyojiunga na umoja wa ulaya yenye asili ya kiarabu. Na pia ni waislam wenye asili ya Sunni. Waislam wenye asili ya Sunni wengi wao ni waarabu ambapo madhehebu mengine ya Kiislam wana asili ya Persia, ikiwemo Iran na Iraq.