Watanzania mtawaweza waturuki?

Watanzania mtawaweza waturuki?

Waturuki ni waarabu, kwanza ipo middle east, pili ilikuwa Ottoman empire, tatu kama sikosei ilitawaliwa na Uganda
iriki.
waturuki sio waarabu ni waislamu tu, ni kama wa iran ama wa afghanistani ama wa Pakistan sio waarabu ni watu jamii nyengine kabisa
 
Sawa. Ila tunaangalia asili yao na kwa ukanda wanaopatikana. Pia miongoni mwa dola zilizotawala ukanda huo ni za Kiarabu ambazo pia zilishika hadi Ulaya ya kusini. Uturuki ni nchi pekee iliyojiunga na umoja wa ulaya yenye asili ya kiarabu. Na pia ni waislam wenye asili ya Sunni. Waislam wenye asili ya Sunni wengi wao ni waarabu ambapo madhehebu mengine ya Kiislam wana asili ya Persia, ikiwemo Iran na Iraq.
Waturuki siyo waarabu
 
Back
Top Bottom