Watanzania mumefika wa kusemwa hadi na Japan, kawaida Japan na China huwa hawahangaiki na mambo ya ndani ya watu

Watanzania mumefika wa kusemwa hadi na Japan, kawaida Japan na China huwa hawahangaiki na mambo ya ndani ya watu

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Tumezoea mataifa kama Japan na China kutojishughulisha na mambo ya ndani ya nchi za watu, wao hata mchinjane hadi abaki mmoja, huyo ndiye wataendelea naye kwenye mishe zao.

Japan ni mojawapo wa wafadhili wa miradi Tanzania, ikiwemo msaada waliotoa kwa ile 'flyover' ya Mfangale ambayo Watz hupigiwa picha sana hapo, sasa na wao wameanza kuwasema sema, balozi wao ametoa tamko kwamba alisshangazwa sana na kilichotendeka huko Tz.....

=====================

I am troubled by the information of widespread irregularities and wrongdoings during the recent election process in this country. I am convinced that sound democracy based upon multiparty system works best to contribute to further development and prosperity of Tanzania.

GOTO Shinichi, Ambassador of Japan to Tanzania

Ninashangazwa na habari za hitilafu na ubadhilifu zilizoshuhudiwa kwa wingi nchini humu katika mchakato wa uchaguzi wa hivi karibuni. Nina uhakika demokrasia ya kweli chini ya mfumo wa vyama vingi itachangia zaidi maendeleo na ustawi wa Tanzania.
GOTO Shinichi, Balozi wa Japani nchini Tanzania

 
Tumezoea mataifa kama Japan na China kutojishughulisha na mambo ya ndani ya nchi za watu, wao hata mchinjane hadi abaki mmoja, huyo ndiye wataendelea naye kwenye mishe zao. Japan ni mojawapo wa wafadhili wa miradi Tanzania, ikiwemo msaada waliotoa kwa ile 'flyover' ya Mfangale ambayo Watz hupigiwa picha sana hapo, sasa na wao wameanza kuwasema sema, balozi wao ametoa tamko kwamba alisshangazwa sana na kilichotendeka huko Tz.....
=====================

I am troubled by the information of widespread irregularities and wrongdoings during the recent election process in this country. I am convinced that sound democracy based upon multiparty system works best to contribute to further development and prosperity of Tanzania.
GOTO Shinichi, Ambassador of Japan to Tanzania
Ninashangazwa na habari za hitilafu na ubadhilifu zilizoshuhudiwa kwa wingi nchini humu katika mchakato wa uchaguzi wa hivi karibuni. Nina uhakika demokrasia ya kweli chini ya mfumo wa vyama vingi itachangia zaidi maendeleo na ustawi wa Tanzania.
GOTO Shinichi, Balozi wa Japani nchini Tanzania
Mtulie mda c mrefu itakuwa zamu yenu

Sent from my H3223 using JamiiForums mobile app
 
Mnakiherehere.. alaf KENYA siwapendi mnanyege sana kufatilia yasiowahusu..

Alaf na ww unawez kuta ni kivulana ila unatabia za Umbea umbea

Mkija Tz tunawaoa
Tumezoea mataifa kama Japan na China kutojishughulisha na mambo ya ndani ya nchi za watu, wao hata mchinjane hadi abaki mmoja, huyo ndiye wataendelea naye kwenye mishe zao. Japan ni mojawapo wa wafadhili wa miradi Tanzania, ikiwemo msaada waliotoa kwa ile 'flyover' ya Mfangale ambayo Watz hupigiwa picha sana hapo, sasa na wao wameanza kuwasema sema, balozi wao ametoa tamko kwamba alisshangazwa sana na kilichotendeka huko Tz.....
=====================

I am troubled by the information of widespread irregularities and wrongdoings during the recent election process in this country. I am convinced that sound democracy based upon multiparty system works best to contribute to further development and prosperity of Tanzania.
GOTO Shinichi, Ambassador of Japan to Tanzania
Ninashangazwa na habari za hitilafu na ubadhilifu zilizoshuhudiwa kwa wingi nchini humu katika mchakato wa uchaguzi wa hivi karibuni. Nina uhakika demokrasia ya kweli chini ya mfumo wa vyama vingi itachangia zaidi maendeleo na ustawi wa Tanzania.
GOTO Shinichi, Balozi wa Japani nchini Tanzania
 
Hiyo ni kazi ya Loya Muzungu wa Tundu Lisu anaitwa Amsterdam, chadema wamemlipa mamilioni ya US Dollars kufanya kazi hiyo, yaani kupata matamko kutoka kwa washirika wote wa nchi yetu, lkn ni matamko tu ambayo ni non binding, baada ya hapo hakuna kitakachofwatia labda chadema wamlipe tena huyo Muzungu loya Amsterdam lkn sasa hivi hela ya kumlipa hawana kwa maana hawapati tena ruzuku kama Chama kikuu cha Upinzani Tanzania, hivyo usitegemee kusikia chochote tena baada ya haya matamko, ni matamko tu hata hivyo hata ukiyasoma hayang'ati, ...
 
Hiyo ni kazi ya Loya Muzungu wa Tundu Lisu anaitwa Amsterdam, chadema wamemlipa mamilioni ya US Dollars kufanya kazi hiyo, yaani kupata matamko kutoka kwa washirika wote wa nchi yetu, lkn ni matamko tu ambayo ni non binding, baada ya hapo hakuna kitakachofwatia labda chadema wamlipe tena huyo Muzungu loya Amsterdam lkn sasa hivi hela ya kumlipa hawana kwa maana hawapati tena ruzuku kama Chama kikuu cha Upinzani Tanzania, hivyo usitegemee kusikia chochote tena baada ya haya matamko, ni matamko tu hata hivyo hata ukiyasoma hayang'ati, ...

Ndio mara ya kwanza kwangu mimi kuona Japan wameshindwa kuvumilia mpaka wanatolea tamko....
 
Hiyo ni kazi ya Loya Muzungu wa Tundu Lisu anaitwa Amsterdam, chadema wamemlipa mamilioni ya US Dollars kufanya kazi hiyo, yaani kupata matamko kutoka kwa washirika wote wa nchi yetu, lkn ni matamko tu ambayo ni non binding, baada ya hapo hakuna kitakachofwatia labda chadema wamlipe tena huyo Muzungu loya Amsterdam lkn sasa hivi hela ya kumlipa hawana kwa maana hawapati tena ruzuku kama Chama kikuu cha Upinzani Tanzania, hivyo usitegemee kusikia chochote tena baada ya haya matamko, ni matamko tu hata hivyo hata ukiyasoma hayang'ati, ...
Sio kweli kwamba matamko yanatolewa kwa sababu ya Chadema na Amsterdam.

Balozi zote zilizotoa matamko zilikuwa na waangalizi wa kidiplomasia kwenye uchaguzi (diplomatic watch). Waangalizi wote kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi, wanatakiwa watoe ripoti ya uchaguzi. Wajapani pia mwaka huu walishiriki kwenye uangalizi.

Uongo hausaidii. Unaweza kutafuta mbadala sahihi wa kutetea hoja yako bila kupotosha, Mkuu.
 
Sio kweli kwamba matamko yanatolewa kwa sababu ya Chadema na Amsterdam.

Balozi zote zilizotoa matamko zilikuwa na waangalizi wa kidiplomasia kwenye uchaguzi (diplomatic watch). Waangalizi wote kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi, wanatakiwa watoe ripoti ya uchaguzi. Wajapani pia mwaka huu walishiriki kwenye uangalizi.

Uongo hausaidii. Unaweza kutafuta mbadala sahihi wa kutetea hoja yako bila kupotosha, Mkuu.

Blah blah blah, sasa huyo loya Muzungu Amsterdam ni wa nini? Kwa nini chadema imlipe mamilioni ya US dollars kama hana kazi?
 
Ndio mara ya kwanza kwangu mimi kuona Japan wameshindwa kuvumilia mpaka wanatolea tamko....

Haujui jinsi haya mambo yanavyokwenda, hivyo jikalie tu kimya, huyo loya Muzungu hata wewe kama unataka Ubalozi wa Japani utoe tamko khs ishu yoyote dhidi ya nchi yako umtafute mmlipe Mamilioni ya USD utasikia, tamko atalifanikisha, hiyo ndiyo kazi yake anafanya hivyo Dunia nzima, ...
 
Haujui jinsi haya mambo yanavyokwenda, hivyo jikalie tu kimya, huyo loya Muzungu hata wewe kama unataka Ubalozi wa Japani utoe tamko khs ishu yoyote dhidi ya nchi yako umtafute mmlipe Mamilioni ya USD utasikia, tamko atalifanikisha, hiyo ndiyo kazi yake anafanya hivyo Dunia nzima, ...
Uchaguzi umeisha.
Ila acha propaganda za kitoto, yaani Amsterdam aweze kushawishi nchi zote hizo kutoa matamko? Yeye ana hela kiasi gani?
Ivi kwanini watu mkiwa na vyama mko tayari kusema uongo na lolote ilimradi vyama vyenu vionekane viko sahihi hata kama vimekosea?
Yaani hao wote Amsterdam kawashika akili zao? uongo wako ni next level
 
Blah blah blah, sasa huyo loya Muzungu Amsterdam ni wa nini? Kwa nini chadema imlipe mamilioni ya US dollars kama hana kazi?
Nitakujibu kwa mara ya mwisho:

Harakati/ kazi za Chadema na Amsterdam, na matamko ya Balozi zilizoshiriki kwenye uangalizi wa uchaguzi havina uhusiano unaojitahidi kuuleta hapa.
 
Nitakujibu kwa mara ya mwisho:

Harakati/ kazi za Chadema na Amsterdam, na matamko ya Balozi zilizoshiriki kwenye uangalizi wa uchaguzi havina uhusiano unaojitahidi kuuleta hapa.

Hata usingejibu kabisa kwangu ni sawa tu kwani sijakulazimisha ujibu chochote hivyo hauna haja ya kuniwekea deadline, lkn ukweli ni huu hapo chini, au unafikiri huyo Muzungu Amsterdam anafanya hayo bure ?

 
Uchaguzi umeisha.
Ila acha propaganda za kitoto, yaani Amsterdam aweze kushawishi nchi zote hizo kutoa matamko? Yeye ana hela kiasi gani?
Ivi kwanini watu mkiwa na vyama mko tayari kusema uongo na lolote ilimradi vyama vyenu vionekane viko sahihi hata kama vimekosea?
Yaani hao wote Amsterdam kawashika akili zao? uongo wako ni next level

Ndiyo kazi yake hiyo, kama ulikuwa haujui, hufanya hivyo Dunia nzima unaweza hata tu kutembelea website yake iko wazi kazi anazofanya na clients wake isitoshe Tundu Lisu mwenye alisema amemwagiza loya wake Muzungu Amsterdam aende Jumuiya ya Madola kushitaki pmj na washirika wetu wengine, sasa unachobishia ni kitu gani? Siyo kama nafanya propaganda ni tundu wenu mwenye alisema anachokifanya huyo kaburu, ...

 
Huu Mwaka Tunaufunga Vibaya Tutasemwa Sana Mpaka Na Mikia Ya Mbuzi IsiyoNa Msaada Wowote!!
Hata Burundi Inatusema
 
Back
Top Bottom