π π π π falaTumshukuru mungu kwa kila jambo. Mwenyezi mungu hawezi kukupa kila kitu. Unaweza ukakufuru kwa baadae.
Mungu katupa amani, maliasili ambayo Tanzania ni nchi ya pili duaniani kuwa na maliasili tuzionazo. Katuondolea korona, nzige hivyo vyote hatushukuru tuu.
Sasa ameona ni vyema atunyime ujuzi wa kusakata kabumbu. Tutaendelea kupigwa hadi akili itukae. Mwache mungu aitwe mungu
Tutaendelea na ufala hadi akili itukaeπ π π π fala
Tumshukuru mungu kwa kila jambo. Mwenyezi mungu hawezi kukupa kila kitu. Unaweza ukakufuru kwa baadae. Mungu katupa amani, maliasili ambayo Tanzania ni nchi ya pili duaniani kuwa na maliasili tuzionazo. Katuondolea korona, nzige hivyo vyote hatushukuru tuu. Sasa ameona ni vyema atunyime ujuzi wa kusakata kabumbu. Tutaendelea kupigwa hadi akili itukae. Mwache mungu aitwe mungu
Mkuu mbona tuna makocha waliobobea kwenye kabumbu lakini bado tuna tandikwa za uso? yawezekana mpira kwa wanaume ushatuacha, tuhamie kwa wakina mama maana ndiyo wanaiwakilisha vyema nchi yetuUmekiri kucheza mpira ni ujuzi..Sasa ujuzi si unafundishwa? Mungu anahusikaje hapo?
Ni hivi kuwa na ujuzi wa kucheza mpira hakuna tofauti na kuwa daktari, engineer, n.k kwa maana huwezi kuruka hatua iliyopangwa na watalaam na ukawa ni daktari au engineer.Mkuu mbona tuna makocha waliobobea kwenye kabumbu lakini bado tuna tandikwa za uso? yawezekana mpira kwa wanaume ushatuacha, tuhamie kwa wakina mama maana ndiyo wanaiwakilisha vyema nchi yetu