ipo pia lafudhi ya sintokuja
Kwanini WaTZ hutumia kiambishi(?) "to" wanapotaka kukanusha badala ya "ta?" Kwa mfano, atasema, Sitokuja badala ya kusema "Sitakuja." Ni kosa au ni lahja tofauti?
Kwa muda mrefu nilikuwa nikifiri kuwa ni lahja ya KiTZ watu wanapochanganya "r" na "l," kabla ya kujua kuwa ni athari za lugha ya mama
- Sitokuja maana yake hakika sitakuja kamwe yaani apizo na mara nyingi wapenzi hutumia wakiwa na hasira hasa wanawake
- Pia sitokuja, sintokuja, siji pia ni misemo ya apizo au hamaki
- Sitakuja maana yake sitakuja leo, samahani sitakuja leo, baadaye n.k ila nitakuja nikipata nafasi ni usemi wa kistaarabu bila hamaki au hasira
ipo pia lafudhi ya sintokuja
Sikuelewi ndungu;
asante sana dadaUpo sahihi mkuu
Hapa ningepata zero!
ipo pia lafudhi ya sintokuja