Kwanini WaTZ hutumia kiambishi(?) "to" wanapotaka kukanusha badala ya "ta?" Kwa mfano, atasema, Sitokuja badala ya kusema "Sitakuja." Ni kosa au ni lahja tofauti?
Kwa muda mrefu nilikuwa nikifiri kuwa ni lahja ya KiTZ watu wanapochanganya "r" na "l," kabla ya kujua kuwa ni athari za lugha ya mama
Kwa muda mrefu nilikuwa nikifiri kuwa ni lahja ya KiTZ watu wanapochanganya "r" na "l," kabla ya kujua kuwa ni athari za lugha ya mama