figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Salaam Wakuu,
Unakuta mtu kila msimu unanunua miavuli miwili au Mitatu. Lakini yote huwezi jua hatima yake.
Watu gani wanaiba miamvuli Tanzania?
Wanaifanyia kazi gani?
Kila nikinunua Mwavuli huwa sijui unaenda wapi. Na kila ninaye muuliza anasema hata yeye kapoteza au kasahau sehemu.
Je, kuna majini yanaiba miavuli yetu? Au ni dili kwa Wachina?
Katika vitu havidumu ni Mwavuli.
Unakuta mtu kila msimu unanunua miavuli miwili au Mitatu. Lakini yote huwezi jua hatima yake.
Watu gani wanaiba miamvuli Tanzania?
Wanaifanyia kazi gani?
Kila nikinunua Mwavuli huwa sijui unaenda wapi. Na kila ninaye muuliza anasema hata yeye kapoteza au kasahau sehemu.
Je, kuna majini yanaiba miavuli yetu? Au ni dili kwa Wachina?
Katika vitu havidumu ni Mwavuli.