Watanzania nawauliza ?

FB na JF wapi na wapi bwana!!! Mambo ya kitabu sura yaacheni huko huko!!!
 
mtoa mada ni limbukeni wa ulaya,ulaya ipi unayoiongelea wewe ujue siku hizi ulaya na manzese wala si mbali,najivunia kuishi Mwananyamala:washing:

Kw mama zakalia teh!teh!teh!
 
halafu wakukuona hujakaa sawa huku ulaya,wanakushit...mie imenitokea sijui walikuwa wanategemea nini kwangu lol:lol::lol::lol::smash:
 
Hivi inakuwaje hiyo? ni nzuri kuliko JF?
 
Hii nyekundu nimependa zaidi Mkuu. Nakumbuka jinsi Nyerere na Jomo Kenyatta walivyokuwa wanalumbana katika Facebook.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…